Posted on: October 6th, 2023
Waziri wa Maliasili na Utaliii Mhe. Angellah Kairuki ameahidi kuchimba kisima cha maji katika shule ya Sekondari Kibacha iliyopo wilayani Same mkoani Kilimanjaro ili kutatua changamoto ya upatikanaji ...
Posted on: September 14th, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe. Kasilda Mgeni amemuonya mwekezaji wa shamba la Mkonge la LM Investment kuacha kutoa taarifa mitandaoni kwamba wananchi wamevamia na kuchoma moto eneo lake wakati sio kweli....
Posted on: September 8th, 2023
Halmashauri ya Wilaya ya Same,Mkoani Kilimanjaro imezindua mnada na soko la barabarani katika eneo la Kirinjiko kwa lengo la kuongeza mapato na kuwawezesha wananchi watakaofika katika Hospitali mpya y...