• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

WATALII WAENDELEA KUONGEZEKA TANZANIA-WAZIRI KAIRUKI

Posted on: February 23rd, 2024
  • Idadi ya watalii waliotembelea Tanzania imeongezeka kutoka watalii 1,400,000 mwaka 2022 na kufikia 1,808,205 kuanzia Januari hadi Novemba 2023.

Hayo yamebainishwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Angellah Kairuki wakati akizindua Tamasha  kubwa la Utalii Wilayani Same(Same Utalii Festival)  Feb 23,2024.

Akizindua Tamasha hilo la siku tatu linalojulikana kama Same Utalii Festival Waziri Kairuki alisema ongezeko hilo la watalii limechangiwa na jitihada za Mhe.Rais Samia Suluhu kutangaza utalii kupitia filamu ya Royal Tour.

"Tutakua wachoyo wa fadhila iwapo hatutamshukuru Mheshimiwa Rais kusaidia ongezeko la watalii kupitia filamu ya Royal Tour"alisema Mhe.Kairuki.

Mheshimiwa Waziri amewataka pia wananchi wa Tanzania kushiriki kufanya Utalii katika maeneo mbalimbali ya utalii hapa nchini ili kuendelea kutangaza vivutio vya utalii hapa nchini.

"Tusisubiri wazungu tu kuja kutembelea vivutio vyetu vya Utalii,tuanze sisi ili wazungu wafuate"alisema Mheshimiwa Waziri.

Aidha Waziri Kairuki alitoa wito kwa kampuni za Utalii na hoteli zinazopokea watalii kutoa huduma bora ili watalii hao waweze kuvutiwa na kutembelea tena Tanzania.

Alisema lengo la serikali ni kuhakikisha kuwa nchi imetembelewa na watalii milioni tano ifikapo 2025.

Akizungumza katika Uzinduzi huo,Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe.Kasilda Mgeni alisema lengo la kuandaa Tamasha hilo ni kutangaza vivutio vya utalii vilivyopo Wilayani Same ili kukuza uchumi wa wananchi na kuongeza pato la Serikali.

"Tamasha hili la Same Utalii Festival litakuwa linafanyika kila mwaka,tunaamini itasaidia sana kutangaza vivutio vya utalii vilivyopo katika Wilaya hii"alisema Mheshimiwa Kasilda.

Katika Tamasha hilo wageni walifanikiwa kutembelea Hifadhi ya Taifa Mkomazi,Mlima Kidenge na Hifadhi ya Msitu wa asili Chome.





Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • WANANCHI WAONYWA KUTOJIUNGANISHIA MAJI KWA NJIA ZISIZO RASMI

    June 18, 2025
  • WANANCHI WAONYWA KUTOJIUNGANISHIA MAJI KWA NJIA ZISIZO RASMI

    June 18, 2025
  • DC KASILDA ATAKA WANANCHU KUTUMIA FURSA ZA KIUCHUMI WAKATI WA ZIARA YA MWENGE WA UHURU

    June 10, 2025
  • WASHIRIKI UMISSETA WATAKIWA KUWAKILISHA VEMA WILAYA YA SAME

    June 09, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.