Posted on: May 26th, 2025
Wananchi wa Jimbo la Same Mashariki sasa wanatarajia kupata huduma ya uhakika ya umeme kufuatia kukarabatiwa kwa kituo cha kupokea, kupooza na kusambaza umeme kilichopo katika Kata ya Maore.
...
Posted on: May 19th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Same Mheshimiwa Kasilda Mgeni amewataka Wadau wa madini Wilayani Same kuhakikisha kuwa wanatunza Mazingira kwenye maeneo wanayochimba madini.
Ametoa wito huo leo Mei 08,2025 kweny...
Posted on: May 5th, 2025
Wilaya ya Same imejipanga kuongeza uzalishaji wa zao la Mkonge kutoka Tani 1,351 za sasa hadi kufiki tani 2,500 mwaka 2030 ili kupanua wigo wa upatikanaji wa mazao ya Viwanda na kuinua wananchi kiuchu...