Posted on: October 6th, 2019
Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe.Rosemary Senyamule kufanya mazoezi ya pamoja na vijana kila jumamosi ili kupata tija zaidi kwa mazoezi hayo.
Pia siku hizo zitatumika kufanya majadiliano mbali...
Posted on: September 9th, 2019
Katika miaka kumi na saba(17) waliyofanya kazi wilayani Same shirika la world vision limeweza kushirikiana na wilaya kukamilisha madarasa 54,vyoo 104,kompyuta 55,zahanati 7,nyumba za walimu/waga...
Posted on: September 6th, 2019
Katika kufurahia ongezeko la takwimu za mabweni na madarasa katika chuo cha ufundi St.Joseph kinachomilikiwa na kanisa la RC jimbo la Same.
DC Same alieleza furaha yake ya kupata marafiki wazuri...