Posted on: August 28th, 2024
Halmashauri ya Wilaya ya Same imekabidhi pikipiki tatu kwa watendaji wa Kata za Myamba, Vudee na Chome ili kurahisisha utekelezaji wa majukumu yao.
Akikabidhi pikipiki hizo zilizotolewa na Ofisi ya...
Posted on: August 27th, 2024
Kamati ya fedha,Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Same imetembelea na kukagua Miradi ya Ujenzi wa mabweni matatu kwenye Shule za Sekondari za Kibacha na Makanya.
Katika ziara hiyo iliy...
Posted on: August 23rd, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Same Mheshimiwa Kasilda Mgeni ameyataka mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO's)kutoa elimu ya uraia kwa wananchi kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Mkuu wa Wilaya ametoa wito hu...