• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

MKOPO WA MILIONI 100 WATOLEWA

Posted on: December 23rd, 2021

Halmashauri ya Wilaya ya Same imetoa mkopo usio na riba wenye thamani ya shilingi milioni 100,000,000/= kwa vikundi vipatavyo 26 kwa kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/2022.Kati ya vikundi hivyo vikundi 7 ni vya vijana ambapo wamepata mkopo wenye thamani ya Tsh 31,000,000/=,vikundi 17 vya wanawake ambapo wamepata mkopo wenye thamani ya Tsh 62,000,000/= na vikundi 2 vya watu wenye ulemavu ambapo wamepata mkopo wenye thamani ya Tsh 7,000,000/=.Katika mkopo huo Halmashauri imechangia Tsh 42,000,000/= kutoka vyanzo vya ndani vya mapato yake na kiasi cha Tsh 58,000,000/= kutoka marejesho ya vikundi.

Akikabidhi hundi za mikopo hiyo Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Same Ndg.Sospeter Magonera Katibu Tawala wa Wilaya ambaye alikuwa ni mgeni rasmi ameipongeza Halmashauri kwa kutoa mikopo hiyo ambapo ni kutekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) vilevile amewapongeza kina mama,vijana na watu wenye ulemavu kwa kupata fursa hiyo ya kupata mkopo ambapo alisema ni agizo la Mhe.Samia Suluhu Hassan kwamba kina mama,vijana na watu wenye ulemavu wapewe mikopo isiyo na riba kutoka katika mapato ya ndani ya Halmashauri.Ndg.Magonera ameviasa vikundi hivyo kutumia mikopo hiyo kwa malengo yaliyokusudiwa ili kujikwamua kiuchumi na kurejesha ili Halmashauri iweze kutoa tena mikopo.

Vile vile ameviasa vikundi hivyo kutumia na kusimamia mikopo hiyo vizuri kwa kufanya kazi kwa ushirikiano mkubwa ili kufikia lengo la  kuongeza kipato kwa kila mwanachama. 

Naye Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Same Ndg.Rogath Nlula amewahakikishia wana Same kwamba Halmashauri itaendelea kutoa mikopo kwa vikundi vya kina mama,vijana na walemavu na kuwataka walengwa hao waunge mkono juhudi hizo kwa kufanya kazi kwa bidii,kutumia mikopo hiyo kwa malengo waliyokusudia na kurejesha kwa wakati ili zoezi liwe endelevu.

Hali kadhalika zoezi la utoaji mikopo limeambatana na utoaji wa baiskeli mjongeo tisa 9 kwa watu wenye ulemavu ambapo zimetolewa msaada kwa Halmashari na Tanzania Cigarate Company(TCC).

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.