Posted on: August 8th, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Same Mheshimiwa Kasilda Mgeni amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri Bw.Jimson Mhagama pamoja na maafisa ugani Wilayani humo kwa kuendelea kutoa elimu ya kilimo cha kisasa.
Mheshim...
Posted on: August 7th, 2024
Wakulima wa Kahawa Wilayani Same wameshauriwa kubadilika kutoka kutumia mbegu za zamani ambazo zinachelewa kukomaa na kuanza kutumia mbegu zilizoboreshwa za Arabica Compact.
Akizungumza kwenye maon...
Posted on: August 5th, 2024
Bw.Nandi Rupia ni Afisa nyuki mstaafu kutoka Wilaya ya Same ambaye ameamua kujishughulisha na ufugaji wa nyuki kibiashara ambapo pia anatumia mazao ya nyuki katika kutibu maradhi mbalimbali ya binadam...