Posted on: April 28th, 2025
Wilaya ya Same imepanda miti 500 kwenye Shule ya Sekondari Same kama srhemu ya kuadhimisha miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Same, Mhe. Kasi...
Posted on: April 3rd, 2025
Wilaya ya Same imepokea Shilingi Milioni 402.7 kutoka Miradi wa SWASH kwaajili ya Utekelezaji wa Miradi ya huduma za maji na Usafi wa Mazingira Vijijini-SRWSSP ambapo fedha hizo zimenufaisha jumla ya ...
Posted on: March 23rd, 2025
Baada ya kukosa maji kwa zaidi ya miaka 20, hatimaye wakazi zaidi ya 300 wa Kitongoji cha Makei, Kijiji cha Bangalala Kata ya Bangalala Wilayani Same wameondokana na changamoto ya ukosefu wa maji baad...