• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

SLAA AWARUHUSU WANANCHI WA RUVU KULIMA MAZAO YA MUDA MFUPI

Posted on: January 29th, 2024

Waziri wa Ardhi Mheshimiwa Jerry Slaa amewaruhusu wananchi wa Kata ya Ruvu ambao wanaoishi kwenye eneo la Pori Tengefu kuendelea kulima mazao yanayokomaa muda mfupi wakati Serikali ikilitafutia ufumbuzi suala lao.

Akizungumza alipofanya ziara kwenye Kata ya Ruvu Mheshimiwa Slaa aliwataka wananchi hao kufuata maelekezo ya Serikali yanayowazuia kufanya maendelezo yoyote katika eneo hilo hadi pale Serikali itakapokuja na maelekezo rasmi.

“Hili eneo ni pori Tengefu na Serikali imeshatoa maelekezo mbalimbali hapa hasa zuio la kufanya maendele ya kudumu ikiwemo kujenga nyumba za kudumu,ni vema maelekezo ya Derikali yakafuatwa ila suala la kulima mimi nawaruhusu mlime mazao ya muda mfupi” alise Waziri Slaa

Waziri Slaa alisema maamuzi kuhusu eneo hilo yanapaswa kuamuliwa na Mawaziri kutoka sekta nane na Mwenyekiti wa kikao hicho ni Wariri wa Ardhi hivyo ameahidi kuitisha kikao cha Mawaziri hao mapema mwezi February 2024 na baada ya kikao hicho atawasilisha majibu rasmi kwa Wananchi wa Ruvu.

“Mama Samia aliponiteua alinielekeza kuwa jambo asilolitaka ni kusababisha taharuki kwa wananchi,hivyo niwaombe mkae kwa amani na utulivu na mtambue kuwa Serikali ya mama Samia haiwezi kufanya maamuzi ya kuwamiza wananchi” alisema Waziri.

Awali akitoa taarifa ya Wilaya ya Same Mkuu wa Wilaya hiyo Mheshimiwa Kasilda Mgeni alimuomba Waziri kulipatia ufumbuzi suala la Kata ya Ruvu ambayo vijiji vyake vyote vine vipo kwenye Pori Tengefu hivyo wananchi wamezuiwa kufanya uendelezaji katika eneo hilo.

“Mheshimiwa Waziri tuna changamoto ya wananchi wetu wa Kata ya Ruvu kuishi kwenye pori Tengefu,  Wizara ya Maliasili na Utalii ilituarifu kwamba Kata ya Ruvu ni Pori Tengefu lakini Kata hii ina Wananchi elfu kumi na tisa na vijiji vyote vimesajiliwa,hapa kuna shule na kituo cha afya,tunaomba Serikali itusaidie kupata ufumbuzi wa mapema” alisema Mheshimiwa Kasilda.

Mbunge wa Jimbi la Same Magharibi Mheshimiwa David Mathayo aliwaambia wananchi hao kuwa amelazimika kumuomba Waziri wa Ardhi kufika kwenye Kata ya Ruvu ili aweze kusikia kilio cha wananchi hao cha kuzuiwa kufanya maendeleo yoyote katika Kata hiyo hadi Serikali itakapotoa maamuzi.

“Nikuombe tuu Mheshimiwa Waziri haya majibu yaje mapema ili wananchi hawa waache kuishi kwa hofu”alisema Mathayo.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • WANANCHI WAONYWA KUTOJIUNGANISHIA MAJI KWA NJIA ZISIZO RASMI

    June 18, 2025
  • WANANCHI WAONYWA KUTOJIUNGANISHIA MAJI KWA NJIA ZISIZO RASMI

    June 18, 2025
  • DC KASILDA ATAKA WANANCHU KUTUMIA FURSA ZA KIUCHUMI WAKATI WA ZIARA YA MWENGE WA UHURU

    June 10, 2025
  • WASHIRIKI UMISSETA WATAKIWA KUWAKILISHA VEMA WILAYA YA SAME

    June 09, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.