• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

SAME YAWAONYA WASAFIRI WANAOTUPA TAKA BARABARANI

Posted on: September 20th, 2024

Wasafiri ambao wanatumia Barabara kuu ya Same- Dar Es Salaam wameonywa kuacha kutupa takataka wanapopita kwenye eneo hilo ili kuepuka Uchafuzi wa Mazingira pembezoni mwaka Barabara.

Akizungumza kwenye maadhimisho ya siku ya Usafi Duniani ambayo Wilayani Same yamefanyika kwenye Kata ya Hedaru,Afisa Afya wa Wilaya ya Same Bi.Yuster Malisa amesema magari yanayotumia barabara hiyo yamekuwa yakichafua Mazingira.

"Tayari tumeshaanza kuchukua hatua za kudhibiti utupaji wa taka toka kwenye magari na kuna abiria tayari tumewapiga faini na zoezi hili litaendelea hadi hii tabia itakapokoma"alisema Bi. Malisa.

Akizungumzia kadhia hiyo Mkazi wa Hedaru Bw.Clement Elisafi alisema wasafiri wamekua wakitupa sana taka kwenye maeneo yao.

"Naomba tuwekewe mabango mwanzo wa Wilaya na mwisho wa Wilaya kuonya hii tabia"alisema Bw.Elisafi.

Aidha  Afisa afya huyo amewataka wananchi wote wa Wilaya ya Same kuhakikisha kuwa wanachangia ada ya ulipaji taka ili kuwezesha zoezi la uzoaji taka.

Amewaagiza maafisa Afya wa Kata kuhakikisha kwamba wanasimamia maeneo yao vizuri ikiwa ni pamoja kuchukua hatua za kisheria kwa wananchi wote wanaokiuka taratibu za afya.

Siku ya Usafi Duniani huadhimishwa Septemba 20 ya kila mwaka na mwaka huu inaadhimishwa kwa kaulimbiu isemayo "Uhai hauna mbadala,zingatia Usafi wa Mazingira, Mtu ni Afya"



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.