• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

'HARAKATI ZA KUMKOMBOA MWANAMKE ZIMELETA TIJA'

Posted on: September 14th, 2024

Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum Bi.Mwanaidi Ali Khamisi amesema harakati mbalimbali za Kimataifa na Kitaifa zimewezesha usawa wa Jinsia kwenye ajira na kwenye nafasi za uteuzi.

Ameyasema hayo kwenye Kongamano la wanawake Wilayani Same ambapo alisema kwasasa kumekuwa na mabadiliko chanya katika ajira na nafasi za uteuzo ambapo Wanawake wamekuwa wakipewa nafasi.

Alisema Serikali imesaini mikataba mbalimbali ya Kimataifa yenye lengo la kuhakikisha Wanawake wanaingia kwa winging kwenye nafasi za maamuzi.

Uwepo wa wagombea wa viti Maalum vya nafasi za ubunge na udiwani pamoja na kundi Maalum la wanawake kwenye chaguzi za Serikali za Mitaa ni jitihada za Serikali kuongeza uwakilishi WA Wanawake kwenye nafasi za maamuzi.

Akizungumza kwenye Kongamano hilo,Mkuu wa Wilaya ya Same Mheshimiwa Kasilda Mgeni alisema Ofisi yake kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri wameona umuhimu wa kuwaleta Wanawake wa Same pamoja ili waweze kubadlishana mawazo katika kukuza Uchumi.

'Lengo la kongamano hili ni kuwaleta pamoja wanawake ilikujadili fursa za kiuchumi na kuwapa elimu ya kutumia nishati Safi ya kupikia ili kutunza mazingira "alisema Mhe.Kasilda

Nae Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Same Mheshimiwa Yusto Mapande aliwataka wanawake kutambua kuwa wao sio washindani wa wanaume.

"Naunga mkono harakati za kumkomboa mwanamke dhidi ya unyanyasaji lakini niseme kuwa wanawake sio washindani wa wanaume bali kila mmoja atimize majukumu yake"alisema Mhe.Yusto

Katika Kongamano hilo lililojumuisha wanawake zaidi ya 400 kutoka maeneo mbalimbali ya Same na nje ya Same, mada mbalimbali ziliwasilishwa ikiwemo Utunzaji wa Mazingira,Afya,Fursa za Uchumi,Kuzuia ukatili wa kijinsia na Elimu ya Uongozi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.