• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

RAS NZOWA APONGEZA MAFANIKIO YA SAME UTALII FESTIVAL

Posted on: December 20th, 2024

Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro Bw.Kiseo Nzowa amempongeza Mkuu wa Wilaya ya Same Mheshimiwa Kasilda Mgeni kwa maandalizi mazuri ya Tamasha la Same Utalii Festival.

Ametoa pongezi hizo wakati akizindua Tamasha hilo la siku tatu lililoanza leo ambapo alisema pamoja na Tamasha hilo kutangaza Utalii lakini pia ni chachu ya Maendeleo Wilayani himo.

Akizungumza  kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mheshimiwa Nurdin Babu, Katibu Tawala Bw. Nzowa, alisema kuwa tamasha hilo pia ni kituo cha uwekezaji.

Amesema kuwa, mbali na kutangaza vivutio vya utalii, tamasha hili limeongeza mzunguko wa biashara pale wageni wanapofika wilayani Same.

"Tamasha hili la Same Utalii Festival linasaidia kutangaza vivutio vya utalii vilivyopo wilayani Same, na pia limeweza kutambua rasmi vivutio hivyo kama mali kale na maeneo ya utalii," alisema Nzowa.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Same Mheshimiwa Kasilda Mgeni, amesema kuwa lengo la tamasha hili ni kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika juhudi za kutangaza utalii kupitia Filamu ya Royal Tour, ambayo imeleta mafanikio makubwa kwa kuongeza idadi ya watalii nchini.

Kasilda alisisitiza kuwa, lengo jingine ni kuhakikisha kuwa vivutio vya utalii vilivyopo wilayani Same vinawanufaisha wananchi wa wilaya hiyo, pamoja na kuhamasisha uwekezaji kupitia sekta ya utalii.

"Moja ya mafanikio makubwa tuliyoyapata kupitia awamu ya kwanza ni kuweza kupata wawekezaji watatu ambao wanajenga hoteli za kisasa tatu wilayani Same, jambo litakalosaidia kutoa ajira kwa vijana," alisema Kasilda.

Aidha, Mkuu huyo wa Wilaya aliongeza kuwa idadi ya watalii wanaotembelea vivutio vya utalii vya Same imeongezeka mara mbili, na hivyo kuchangia kukuza vipato vya wananchi wa Same.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • WANANCHI WAONYWA KUTOJIUNGANISHIA MAJI KWA NJIA ZISIZO RASMI

    June 18, 2025
  • WANANCHI WAONYWA KUTOJIUNGANISHIA MAJI KWA NJIA ZISIZO RASMI

    June 18, 2025
  • DC KASILDA ATAKA WANANCHU KUTUMIA FURSA ZA KIUCHUMI WAKATI WA ZIARA YA MWENGE WA UHURU

    June 10, 2025
  • WASHIRIKI UMISSETA WATAKIWA KUWAKILISHA VEMA WILAYA YA SAME

    June 09, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.