• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

TFS YATAKIWA KUSAMBAZA MICHE YA MITI KWENYE TAASISI ZOTE SAME

Posted on: October 20th, 2024

Kaimu Afisa Tawala wa Wilaya ya Same Bw.Sixbert Sarmett amewataka Wakala  wa Misitu (TFS) Kanda ya Kaskazini kuhakikisha kuwa wanasambaza miche ya miti kwenye Taasisi zote za Serikali na binafsi Wilayani humo ili kuendelea kutunza mazingira.

Alitoa wito huo kwenye zoezi la upandaji miti  kwenye shule ya msing Kisima ikiwa ni mwendelezo wa kampeni maalum ya uoteshaji miti ili kuifanya Wilaya ya Same kuwa ya kijani ambapo alisema mvua za vuli zilizoanza kunyesha ni lazima zitumike vizuri kutunza mazingira.

Akimwakilisha Mkuu wa Wilaya hiyo Mheshimiwa Kasilda Mgeni kwenye zoezi hilo Bw.Sarmett kwa kushirikiana na TFS na  wadau wa mazingira pamoja na wanafunzi walifanikiwa kuotesha miti 250.

“ Lengo la Wilaya ni kupanda miti milioni 1.5 kila mwaka ambapo mwaka jana tulifanikiwa kupanda miti milioni 1.4 na mwaka huu tunatarajia tufikie lengo letu la kuotesha miti milioni 1.5” alisema na kuwapongeza TFS kwa kuwezesha upatikanaji wa miche ya kutosha.

Aidha Bw.Sarmett alizitaka mamlaka kuhakikisha kuwa hatua kazi zinachukuliwa kwa wale wote wanaoharibu mazingira kwa kukata miti hovyo na wanaochoma mkaa.

Akizungumza kwenye zoezi hilo Meneja wa TFS Kanda ya Kaskazini Bw. James Nshare alisema taasisi hiyo itaendelea kusambaza miche ya miti kwenye taasisi zote kama ilivyoelekezwa.

“Na watu binafsi pia wanaohitaji miche ya miti tunawakaribisha waje tutawapatia bure”Alisema Bw.Nshare

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.