Posted on: September 16th, 2025
Bodi ya Pamba nchini (TCB)) imetoa zawadi ya majiko ya gesi kwa wakulima hodari wa Pamba Wilayani Same ambao wameweza kuzingatia kanuni za kilimo bora cha Pamba kilichowezesha uzalishaji wa zaidi ya k...
Posted on: October 3rd, 2025
Katibu Tawala wa Mkoa (RAS) wa Kilimanjaro Bw. Kiseo Nzowa amepongeza utekelezaji wa Miradi Wilayani Same wakati alipofanya ziara ya siku moja ya kutembelea na kukagua Miradi ya Maendeleo inayotekelez...
Posted on: August 25th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Same, Mheshimiwa Kasilda Mgeni, amewataka wafanyabiashara kuendelea kutumia mashine za kielektroniki za kodi (EFD) ili kuhakikisha kila mteja anapata risiti ya mashine anapokuwa amef...