• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

RAS KILIMANJARO APONGEZA USIMAMIZI WA MIRADI

Posted on: October 3rd, 2025

Katibu Tawala wa Mkoa (RAS) wa Kilimanjaro Bw. Kiseo Nzowa amepongeza utekelezaji wa Miradi Wilayani Same wakati alipofanya ziara ya siku moja ya kutembelea na kukagua Miradi ya Maendeleo inayotekelezwa Wilayani Same.

Katika ziara hiyo RAS Nzowa alitembelea Ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari ya Amali ya Kihurio ambayo Ujenzi wake unagharimu Mil. 584.28 fedha kutoka Mradi wa SEQUIP na ujenzi wake umefikia asilimia 95.

Miradi mingine iliyotembelewa ni Mradi wa Bwalo la Chakula kwenye Shule ya Sekondari Ndungu ambao unatekelezwa kwa gharama ya Shilingi mil. 195 ambapo kati ya fedha hizo Mil. 170 zimetoka Serikali Kuu na Mil 25 zimetokana na mapato ya ndani ya Halmashauri.

Katibu Tawala Nzowa alihitimisha ziara yake kwa kutembelea Mradi wa Ujenzi wa Kidato cha tano na sita kwenye Shule ya Sekondari Misufini Goma ambao umegharimu Shilingi Milioni 389.4 kutoka SEQUIP.

Miradi yote iliyotembelewa ujenzi wake umekamilika kwa zaidi ya asilimia 95 ambapo Katibu Tawala aliipongeza Halmashauri kwa usimamizi mzuri wa Miradi na kuelekeza hatua ya umaliziaji  kuhakikisha kuwa majengo yote yanawekwa sakafu ya marumaru(tiles).

"Naona Miradi hii ipo kwenye hatua za umaliziaji, hivyo hakikisheni inakamilika kwa wakati ili iweze kupokea wanafunzi mwakani" alisema Nzowa.

Awali Mkuu wa Wilaya ya Same Mheshimiwa Kasilda Mgeni aliishukuru Serikali kwa kuipatia Wilaya ya Same Miradi itakayowezesha wanafunzi wengi zaidi kujiunga na Elimu ya Sekondari pamoja na kunufaika na Elimu ya Amali (Ufundi).

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • WAGOMBEA TISA KUCHUANA UBUNGE SAME

    October 01, 2025
  • WAFUGAJI WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO ZOEZI LA CHANJO

    August 11, 2025
  • BODI YA PAMBA YATOA ZAWADI SAME

    September 16, 2025
  • RAS KILIMANJARO APONGEZA USIMAMIZI WA MIRADI

    October 03, 2025
  • Tazama Vyote

Video

Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.