Posted on: March 12th, 2025
Timu ya Kampeni ya 'Mtu ni Afya' kutoka Wizara ya Afya imefika Wilayani Same na kutambulisha Kampeni hiyo kwa Mkuu wa Wilaya ya Same Mheshimiwa Kasilda Mgeni.
Muendeshaji wa Kampeni hiyo Msanii Mri...
Posted on: February 9th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Same Mheshimiwa Kasilda Mgeni amewataka watumishi wa Afya Wilayani humo kufanya kazi wa kujituma na kuhakikisha kila mgonjwa anayehudumiwa anaridhishwa na huduma zinazotolewa.
...
Posted on: February 19th, 2025
Wenyeviti wa vijiji na vitongoji wa wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia sheria, taratibu na miongozo ya Serikali.
Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wil...