• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

Wazazi andikisheni Watoto shule, na wa Kidato cha kwanza wote waripoti shuleni-DED SAME

Posted on: January 1st, 2026

Nawatakia heri ya Mwaka Mpya 2026 Wananchi wote wa Wilaya ya Same. Mwaka 2025 umemalizika salama na ninashukuru kwa ushirikiano mkubwa mlioutoa kwa Serikali katika kuhakikisha kuwa masuala mbalimbali ya maendeleo yanasonga mbele.

 Msimu wa sherehe mbalimbali za mwisho wa mwaka tumeumaliza, napenda kuchukua nafasi hii kuwakaribisha tena kwenye ujenzi wa Taifa letu la Tanzania. Napenda kuwakumbusha ndugu zangu wa Wilaya ya Same kwamba jukumu kubwa liliopo mbele yetu kwa sasa ni kuhakikisha kuwa wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza wanaripoti shuleni bila kukosa.

Kwenye Wilaya yetu ya Same Jumla ya wanafunzi 4,305 wamechaguliwa kujiunga na elimu ya Sekondari mwaka 2,026, kwahiyo wanafunzi wote waliochaguliwa tunataka kuwaona shuleni.

 Kwa kutambua kuwa elimu ni msingi bora wa maisha ya mtoto tayari wilaya inayo shule na madarasa ya kutosha kupokea wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na Sekondari. Tukumbuke kuwa Serikali inatekeleza Sera ya Elimu bure ili kuhakikisha kuwa watoto wote wanapata fursa ya kupata elimu bila kuwa na kisingizio chochote, hivyo hakuna sababu ya mzazi kutompeleka mtoto shule. 

Niwakumbushe pia wazazi wenye watoto wenye umri wa kuanzia miaka mitano kuhakikisha kuwa wanawaandikisha darasa la awali na darasa la kwanza, uandikishaji umeanza mwezi Desemba 2025 na utakamilika Machi 31, 2026.

 Serikali imetoa muda wa kutosha kwa wazazi kuhakikisha kuwa wanawaandikisha kuanza darasa la kwanza watoto wote wenye umri wa kwenda shule, wazazi mtambue kuwa ni kosa kutompeleka mtoto shule.

 Kila mtoto ana haki ya kupata elimu hivyo kila mzazi atimize wajibu wake wa kuhakikisha kuwa anampeleka mtoto shule na pia kuhakikisha anafuatilia maendeleo ya mtoto wake shuleni.

 Mwaka huu tunatarajia kuandikisha wanafunzi 5,256 darasa la awali na wanafunzi 5,542 darasa la kwanza na hadi kufikia Januari 23, 2026 kwa darasa la kwanza tumefikia asilimia 96 ya uandikishaji na darasa la awali tumefikia asilimia 105.

 Elimu ni ufunguo wa maisha, Mzazi  hakikisha unampatia mwanao ufunguo. 


 

Matangazo

  • TANGAZO LA USAJILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI WILAYA YA SAME February 03, 2026
  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA October 28, 2024
  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA October 28, 2024
  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA October 28, 2024
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • VIJANA KATA YA MAORE WAPATIWA ELIMU YA MIKOPO.

    January 31, 2026
  • WENYEVITI WAKUMBUSHWA KUFANYA MIKUTANO

    January 28, 2026
  • WANANCHI HEDARU WAFURAHIA KUKAMILIKA KWA DARAJA LA MTO WASHI

    January 30, 2026
  • DC KASILDA AISHUKURU SERIKALI KWA SAME KUPATIWA GARI LA ZIMAMOTO

    December 17, 2025
  • Tazama Vyote

Video

Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.