• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

WANANCHI HEDARU WAFURAHIA KUKAMILIKA KWA DARAJA LA MTO WASHI

Posted on: January 30th, 2026

Wakazi wa Kata ya Hedaru, Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, wameishukuru Serikali kwa kutoa fedha zaidi ya shilingi bilioni 1.5 kwa ajili ya ujenzi wa Daraja la Mto Washi.

Ujenzi wa daraja hilo umemaliza changamoto sugu ya mafuriko yaliyokuwa yakisababisha vifo vya watu, uharibifu wa mali, mazao na kukatika kwa mawasiliano ya barabara kati ya mikoa ya Kilimanjaro na Tanga.

Wananchi hao wametoa shukrani zao kwa Mkuu wa Wilaya ya Same Mheshimiwa Kasilda Mgeni alipotembelea na kukagua ujenzi wa daraja hilo.

Mhe. Kasilda alieleza kuridhishwa na kazi iliyofanywa na TANROADS, huku akimpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Ujenzi kwa dhamira ya dhati ya Serikali ya Awamu ya Sita katika kuboresha miundombinu ya barabara na kuondoa changamoto mbalimbali zilizokuwa zikiwakabili wananchi.

“Mradi huu umetumia fedha nyingi za Serikali zaidi ya shilingi bilioni 1.5 hivyo ni wajibu wa kila mwananchi kuutunza na kuilinda kwa wivu mkubwa.

Bw.Rajab Msheri Mkazi wa Hedaru anasema daraja hilo ni mkombozi mkubwa kwao kwani limeondoa hatari ya mafuriko yaliyokuwa yakisababisha vifo, uharibifu wa mali na kukatika kwa mawasiliano ya barabara kati ya mikoa ya Kilimanjaro na Tanga.

Kwa upande wake Kaimu Meneja wa TANROADS Mkoa wa Kilimanjaro ambaye pia ni Mhandisi Mkazi wa mradi huo, Mhandisi Benitho Mnzovela, amesema mradi umekamilika kwa asilimia 100.

Katibu wa CCM Uenezi Wilaya ya Same Ndg. Mohamed Ifanda, ameipongeza Serikali kwa kutoa fedha za ujenzi wa daraja hilo pamoja na uongozi wa wilaya kwa usimamizi madhubuti wa mradi.

VIJANA WANUFAIKA NA PIKIPIKI ZA MKOPO USIO NA RIBA.

Matangazo

  • TANGAZO LA USAJILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI WILAYA YA SAME February 03, 2026
  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA October 28, 2024
  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA October 28, 2024
  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA October 28, 2024
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • VIJANA KATA YA MAORE WAPATIWA ELIMU YA MIKOPO.

    January 31, 2026
  • WENYEVITI WAKUMBUSHWA KUFANYA MIKUTANO

    January 28, 2026
  • WANANCHI HEDARU WAFURAHIA KUKAMILIKA KWA DARAJA LA MTO WASHI

    January 30, 2026
  • DC KASILDA AISHUKURU SERIKALI KWA SAME KUPATIWA GARI LA ZIMAMOTO

    December 17, 2025
  • Tazama Vyote

Video

Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.