TANGAZO LA USAJILI WA WAANDAAJI MAUDHUI MTANDAONI WILAYA YA SAME.
Halmashauri ya Wilaya ya Same inawatangazia waandaji wote wa maudhui mtandaoni waliopo Wilaya ya Same kuwasilisha maombi ya usajili kupitia fomu maalum iliyotolewa kwa ajili hiyo.
Fomu ya maombi inaweza:
1.Kujazwa moja kwa moja na mwombaji na kuwasilishwa kupitia barua pepe rasmi, au
2.Kujazwa kwa kushirikiana na Afisa Habari wa Halmashauri ya Wilaya ya Same,kisha kuwasilisha kwa barua pepe
maudhui@michezo.go.tz
PAKUA FOMU HII:FOMU YA MAOMBI YA MWANDAJI WA MAUDHUI.pdf
Afisa Habari anapatikana Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji,Halmashauri ya Wilaya ya Same.
Zoezi la usajili limeanza:30 Januari 2026
Zoezi la usajili linaisha:15 Februari 2026
Maombi yote yawasilishwe kwa kuzingatia maelekezo yaliyotolewa.
Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.