• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

WAGOMBEA TISA KUCHUANA UBUNGE SAME

Posted on: October 1st, 2025

Jumla ya wagombea tisa wameteuliwa kugombea ubunge katika majimbo ya Same Mashariki na Same Magharibi kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 Mwaka huu.

Akitoa taarifa hiyo Msimamizi wa uchaguzi wa majimbo hayo Bi.Nice Ngasala, amesema kwenye Jimbo la Same Magharibi waliochukua fomu ya Ubunge walikuwa Saba  lakini walioteuliwa ni watano ambao ni Dkt. Mathayo David (CCM) Dkt Kidagho Mohamed (AAFP) Bw.Elisante Majid (ACT- Wazalendo) Bi. Ester Maregesi (Chama cha MAKINI) na Gervas Mgonja (CHAUMA ) ambapo Abdul Mkongo (NCCR -Mageuzi) hakurejesha fomu huku Sidra Katanga ( N.R.A) akiwekewa pingamizi.

Kwa upande wa Jimbo la Same Mashariki walioteuliwa kugombea Ubunge ni Deogratias Kweyamba (N.R.A), Bi.Anne Kilango (CCM) Nagy Kaboyoka (ACT-Wazalendo) Bi. Zaina Nampoto ( Chama cha MAKINI) ambapo Allan Alson wa CHAUMMA alichelewa kurejesha fomu hivyo kukosa uteuzi.

Kwa upande wa nafasi za udiwani jumla ya wagombea 39 wameteuliwa kugombea udiwani Jimbo la Same Magharibi lenye Kata 20 huku wagombea 25 wakipitishwa kugombea udiwani Jimbo la Same Mashariki ambalo lina Kata 14.Wagombea udiwani waliopitishwa wanatoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), ACT Wazalendo na CHAUMMA.

Bi.Ngasala amewapongeza wote walioteuliwa kugombea nafasi ya ubunge na udiwani na kuwasihi kufanya kampeni zao kwa kufuata sheria taratibu na kanuni kama ilivyoelekezwa kwenye kanuni za uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya mwaka 2025.

Amewataka pia wananchi kujitokeza katika kampeni hizo ili kusikiliza sera za wagombea na kuweza kufanya maamuzi sahihi wakati wa kupiga Kura.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • WAGOMBEA TISA KUCHUANA UBUNGE SAME

    October 01, 2025
  • WAFUGAJI WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO ZOEZI LA CHANJO

    August 11, 2025
  • BODI YA PAMBA YATOA ZAWADI SAME

    September 16, 2025
  • RAS KILIMANJARO APONGEZA USIMAMIZI WA MIRADI

    October 03, 2025
  • Tazama Vyote

Video

Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.