• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

BODABODA SAME WAPATIWA MKOPO WA PIKIPIKI

Posted on: November 24th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Same imetoa pikipiki 10 kwa vikundi vya vijana wajasiriamali kupitia mkopo wa asilimia kumi unaotolewa kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.

Akizungumzia Mkopo huo Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Same Bw.Charles Anatoly amesema Pikipiki hizo zilizotolewa zina thamani ya Shilingi Milioni 30 na zinatarajiwa kutumika kibiashara kama bodaboda.

Vikundi vilivyonufaika na Mkopo huo ambao ni sehemu ya Mkopo wa asilimia 10 uliitolewa robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2025/2026 ni Kikundi cha Vijana Bodaboda Ndungu naKikundi cha Vijana Bodaboda Same.

"Katika robo hii ya kwanza tumetoa Mkopo wa Shilingi Milioni 184.5 na hizi Pikipiki tulizokabidhi leo ni sehemu ya Mkopo huo"Alisema Bw. Charles 

Hata hivyo amewataka vijana hao kuhakikisha kuwa wanatumia Pikipiki hizo kwa malengo tarajiwa ili waweze kurejesha mkopo huo.

Bw.Charles pia amewakaribisha waombaji wengine wa Mkopo kuanza kuwasilisha maombi yao ya Mkopo kwani tayari dirisha la maombi limefunguliwa Novemba 05,2025 na litafungwa  Desemba 20,2025.






Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • BODABODA SAME WAPATIWA MKOPO WA PIKIPIKI

    November 24, 2025
  • WAGOMBEA TISA KUCHUANA UBUNGE SAME

    October 01, 2025
  • WAFUGAJI WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO ZOEZI LA CHANJO

    August 11, 2025
  • BODI YA PAMBA YATOA ZAWADI SAME

    September 16, 2025
  • Tazama Vyote

Video

Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.