ZOEZI LITAFANYIKA KUANZIA MEI 16-22,2025
Kwa mujibu wa Kifungu cha 16 (5) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani, Na. 1 ya Mwaka 2024, Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura utakuwa mara mbili kati ya kipindi kinachoanza mara baada ya uchaguzi mkuu na kabla ya siku ya uteuzi.
Wanaohusika katika zoezi hili ni wananchi ambao: -
Vituo Vitafunguliwa Kuanzia Saa 2:00 Asubuhi hadi saa 12:00 jioni
JITOKEZE KUBORESHA TAARIFA ZAKO
Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.