• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

"TUNZENI MIRADI IWEZE KUDUMU" -WAZIRI MHAGAMA

Posted on: January 8th, 2025


Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amewataka wananchi wa Wilaya ya Same kutunza na kulinda miradi mbalimbali  inayowekezwa na Serikali kwenye maeneo yao ili iweze kudumu na kunufaisha kizazi cha sasa na kijacho.e

Amesema Serikali ya Awamu ya sita inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan imejenga na kuboresha Miradi Msingi hivyo ni vyema wananchi wakahakikisha wanailinda.

Ametoa wito huo akizungumza na wakazi wa Kata ya Suji wilayani Same, mara baada ya ziara ya kukagua na kuweka jiwe la msingi kwenye miradi miwili ambayo ni mradi wa ujenzi wa shule mpya ya Sekondari Suji pamoja na Zahanati ya Malindi – Suji ambapo amesema uwekezaji huo umesogeza huduma karibu na wananchi.

Zahanati ya Malindi-Suji  kwa ushirikiano kati ya Halmashauri ya wilaya ya Same pamoja na Ubalozi wa Japani kwa gharama ya Shilingi milioni 470.

 Waziri wa Afya ameridhia maombi ya wakazi wa Suji kuipandisha hadhi Zahanati hiyo iwe kituo cha Afya ili huduma zote muhimu ziweze kutolewa lengo ikiwa ni kurahisisha upatikanaji wa huduma na kupunguza vifo vya mama na mtoto.

* Tunalo jukumu la kupunguza vifo vya akina mama wanaojifungua na watoto,hivyo tutaleta fedha hapa milioni 600 ili kupandisha hadhi Zahanati hii kwa mwaka wa fedha 2024/25"Amesema Waziri Mhagama. 

Awali Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe. Kasilda Mgeni alisema kuwa miradi inyotekelezwa Wilayani humo itaendelea kutunzwa na kusimamiwa ipasavyo ili iweze kudumu kwa muda mrefu na kutoa huduma kama iliyokusudiwa na kuleta tija kwa wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.