• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

SAME YASHIRIKI NANENANE ARUSHA

Posted on: August 3rd, 2024

Halmashauri ya Wilaya ya Same ni miongoni mwa Halmashauri zinazoshiriki maonyesho ya 30 ya Kilimo na Sherehe za Nanenane mwaka 2024 yanayofanyika Kanda ya Kaskazini katika Viwanja vya Themi Njoro Mkoani Arusha.

Katika maonesho hayo Halmashauri ya Wilaya ya Same imeshiriki kuonesha shughuli mbalimbali za Kilimo, Mifugo na Uvivu ili kuwawezesha wananchi kufanya vizuri.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Same Bw. Jimson Mhagama amesema lengo la kushiriki maonesho hayo ni kuwakutanisha wakulima, wafugaji na wavuvi na wenzao ili waweze kuongeza ujuzi katika kile wanachokifanya.

Alisema Maonesho ya Nane nane ya Kilimo yanasaidia wafugaji,wakulima na wavuvi kubadilishana uzoefu kwa lengo la kuongeza thamani ya kile wanachokifanya.

Wilaya ya Same ni wazalishaji wa Tangawizi,Mpunga,Kahawa,Mkonge ,Mahindi pamoja na mazao ya mbogamboga kama nyanya ,vitunguu na mazao ya mikunde kama maharage na fiwi ambayo huuzwa ndani na nje ya nchi.

“Tunao wataalam wa Kilimo , Mifugo na Uvuvi kwenye Halmashauri yetu ambao hutoa elimu ya mara kwa mara kwa watu wetu lakini tunaamini wanaposhiriki maonesho haya wanapata ujuzi zaidi” amesema Bw.Mhagama

Mratibu wa maonyesho ya Nanenane Halmashauri ya Wilaya ya Same Bi. Yulia Joel alisema baada ya maonesho ya Nanenane wakulima huwa wanajitahidi kuboresha uzalishaji kwa kuzingatia walichojifunza Nanenane.

Maonesho ya Nanenane ya Kilimo ,Mifungo na Uvuvi hufanyika kila mwaka hapa nchini kuanzia Agosti mosi na kufikia kilele chake Agosti 08 ambapo kwa mwaka huu yamebebwa na kaulimbiu isemayo “Chagua viongozi bora wa Serikali za Mitaa kwaajili ya Maendeleo endelevu ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi”

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • WACHIMBA MADINI SAME WATAKIWA KUTUNZA MAZINGIRA

    May 19, 2025
  • SAME YAPANIA KUONGEZA UZALISHAJI WA MKONGE

    May 05, 2025
  • SAME YAPANIA KUONGEZA UZALISHAJI WA MKONGE

    May 05, 2025
  • SAME YAOMBA WIZARA YA KILIMO KUIPATAIA MICHE YA PARACHICHI

    May 01, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.