• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

SAME YAPANIA KUONGEZA UZALISHAJI WA MKONGE

Posted on: May 5th, 2025

Wilaya ya Same imejipanga kuongeza uzalishaji wa zao la Mkonge kutoka Tani 1,351 za sasa hadi kufiki tani 2,500 mwaka 2030 ili kupanua wigo wa upatikanaji wa mazao ya Viwanda na kuinua wananchi kiuchumi.

Zao la Mkonge ni zao la kimkakati kwenye Wilaya ya Same ambapo  tayari Wilaya imetenga Ekari 4,000 kwenye Kata ya Makanya lenye vitalu 162 ambapo tayari vitalu 158 vimeshakodishwa kwa wawekezaji wa ndani ili kuongeza mapato ya Halmashauri.

Afisa Kilimo, Uvuvi na Mifugo wa Wilaya ya Same Dkt. Cainan Kiswaga amesema vitalu hivyo vimekondihwa kwa wadau 121 wa zao la Mkonge na vitalu vine vimetengwa kwaajili ya uzalishaji wa miche ya Mkonge ili kurahisisha upatikanaji wa miche.

Uanzishwaji wa zao la Mkonge kama zao la kimkakati unatokana na agizo la Waziri Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa ambapo alielekeza kila Wilaya hapa nchini kuwa na mazao ya kimkakati ili kukwamua wananchi kiuchumi.

“Tunaishukuru sana Bodi ya Mkonge hapa nchini kwa kutupatia miche 135,000 ya Mkonge ambayo imeweza kufikia wakulima 25 wa Mkonge kutoka Kata za Makanya,Saweni na Hedaru” alisema Dkt. Kiswaga.

Amesema kuwa katika kurahisisha uendeshaji na usimamizi wa uzalishaji wa zao la Mkonge Halmashauri imesimamia uanzishwaji wa ushirika wa Wakulima wa mkonge unaojulikana kama SAME SISAL AMCOS.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • WACHIMBA MADINI SAME WATAKIWA KUTUNZA MAZINGIRA

    May 19, 2025
  • SAME YAPANIA KUONGEZA UZALISHAJI WA MKONGE

    May 05, 2025
  • SAME YAPANIA KUONGEZA UZALISHAJI WA MKONGE

    May 05, 2025
  • SAME YAOMBA WIZARA YA KILIMO KUIPATAIA MICHE YA PARACHICHI

    May 01, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.