• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

SAME YAOMBA KUJENGEWA DARAJA LA KUWAUNGANISHA NA SIMANJIRO

Posted on: November 2nd, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Same imeadhimisha siku ya Lishe katika Wilaya hiyo kwa lengo la kuikumbusha Jamii kuzingatia mlo kamili katika kila mlo wanaokula ili kuimarisha afya zao.

Akizungumza katika maadhimisho hayo Mkuu wa Wilaya ya Same Mheshimiwa Kasilda Mgeni aliwataka wananchi kuzingatia maelekezo ya wataalam wa Lishe ili kuhakikisha kuwa wanaokula mlo ulio bora.

Mkuu wa Wilaya ambaye pia alipata fursa ya kutembelea mabanda ya maonyesho ya vyakula mbalimbali vinavyoimarisha afya aliipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Same kwa kuandaa siku ya lishe ambayo imewawezesha wananchi wengi kupata elimu ya Lishe.

"Hii siku ni muhimu sana kwani inaongeza uelewa wa wananchi kuhusu Lishe bora lakini nichukue nafasi hii kuwahimiza wanawake wajawazito kuhudhuria Clinic ili waweze kupata chanjo mbalimbali lakini pia watoto wote Chini ya miaka mitano wapelekwe clinic ili kujua Maendeleo ya ukuaji wao na pia waweze kupata chanjo" alisema Bi.Kasilda

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Bi.Anastazia Tutuba aliwataka wazazi wenye watoto mashuleni kuhakikisha kuwa wanachangia chakula ili watoto wao waweze kupata chakula cha mchana shuleni.

Alisema Wilaya ya Same ni miongoni mwa Wilaya zilizosaini Utekelezaji wa Mkataba wa Afua za Lishe ambapo Wanafunzi kupatiwa chakula cha mchana shuleni ni kigezo cha muhimu.

"Tumeshatunga Sheria ndogo ya Mahudhurio ya lazima shuleni na uchangiaji wa chakula shuleni sasa mzazi yeyote asiyetaka kuchangia chakula kwa hiari shuleni basi atakutana na mkono wa Sheria "alisema Bi.Tutuba.

Akizungumza katika maadhimisho hayo Afisa Lishe wa Wilaya ya Same Bi.Jackline Kilenga amesema kwa sasa Wanafunzi wanaokula shuleni ni asilimia 85 Kati ya Wanafunzi 63,512 wanaopaswa kupata chakula shuleni.

"Kwa upande wa kutembelea Kaya zenye wajawazito na watoto wadogo tumefanikiwa kwa asilimia 100 ambapo Kaya 5,310 zilitembelewa,na Vijiji vyote vina utaratibu wa kuwabana wazazi na walezi juu ya masuala ya Lishe"amesema Bi.Kilenga.





Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.