• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

SAME YAOMBA KUIDHINISHIWA BAJETI YA TSH.BIL60.3

Posted on: February 6th, 2026

Halmashauri ya Wilaya ya Same imeomba kuidhinishiwa  Bajeti ya shilingi bilioni 60.3 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 ili kufanikisha Utekelezaji wa Miradi ya maendeleo na uendeshaji wa Halmashauri.

Bajeti hiyo ilijadiliwa na kuridhiwa na madiwani kwenye kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika Februari 04, 2026, kwenye ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Same.

Akizungumza katika kikao hicho, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Same, Bw. Yusto Mapande, alisema kuwa bajeti hiyo imelenga ustawi wa wananchi wa Same kwa kuzingatia mahitaji yao ya msingi na vipaumbele vya maendeleo.

Nae Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Same, Bw. Abdallah Mnyambo, aliwakumbusha watumishi wa umma pamoja na viongozi wa Serikali kuendelea kusimamia ipasavyo miradi Maendeleo.


Matangazo

  • TANGAZO LA USAJILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI WILAYA YA SAME February 03, 2026
  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA October 28, 2024
  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA October 28, 2024
  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA October 28, 2024
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA SAME,ATEMBELEA UJENZI WA CHUO CHA VETA

    February 19, 2026
  • SAME YAZINDUA UANDIKISHAJI WA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    February 17, 2026
  • SAME YAOMBA KUIDHINISHIWA BAJETI YA TSH.BIL60.3

    February 06, 2026
  • WAZIR​I ULEGA AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA SAME–MKOMAZI–NDUNGU

    February 16, 2026
  • Tazama Vyote

Video

Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.