• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

SAME YAENDELEA KUTOA MAFUNZO KUHUSU MATUMIZI YA MFUMO WA NeST

Posted on: June 3rd, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Same kupitia Kitengo Cha Manunuzi Serikalini kimeendelea kutoa Mafunzo ya Matumizi ya Mfumo wa kielekroniki wa manunuzi ya Umma (NeST) kwa makundi mbalimbali ya watumishi ili kuwawezesha kutumia Mfumo huo kila wanapofanya manunuzi ya Umma.

Afisa Manunuzi wa Wilaya ya Same Bw.Rashid Kimweri amesema kuwa mafunzo hayo yameshatolewa kwa wakuu wa idara na vitengo wa Halmashauri ya Wilaya na kwasasa wanatumia vema mfumo huo kufanya manunuzi.

"Ni maelekezo ya Serikali kuwa Manunuzi yote ya Umma yafanyike kupitia Mfumo wa NeST na kwakuwa huu mfumo bado watumishi hawajauzoea tunaendelea kutoa mafunzo ili kuhakikisha watumishi wote wanakuwa na uwezo mzuri wa kutumia mfumo huu " alisema Kimweri.

Aliyataja makundi mengine ambayo yameshapatiwa mafunzo hayo kuwa ni waganga viongozi wa vituo vya Afya na Hospitali na zahanati na kwasasa mafunzo hayo yametolewa kwa walimu wakuu na walimu wa manunuzi.

Akitoa Mafunzo kwa Walimu  Ugavi  Wilayani Same Bw.Francis Yona alisema ni lazima manunuzi yote ya Serikali yafanyike kupitia NeST hivyo akawataka walimu hao kuwa na usikivu muda wote wa mafunzo ili waweze kwenda kufanya manunuzi kupitia mfumo.

Alisema Miradi inayotekelezwa ndani ya Wilaya ya Same ni mingi hivyo wasimamizi wote wa Miradi wanapaswa kujua kutumia Mfumo huu.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • DC KASILDA ATAKA WANANCHU KUTUMIA FURSA ZA KIUCHUMI WAKATI WA ZIARA YA MWENGE WA UHURU

    June 10, 2025
  • WASHIRIKI UMISSETA WATAKIWA KUWAKILISHA VEMA WILAYA YA SAME

    June 09, 2025
  • WASHIRIKI UMISSETA WATAKIWA KUWAKILISHA VEMA WILAYA YA SAME

    June 09, 2025
  • SAME YAENDELEA KUTOA MAFUNZO KUHUSU MATUMIZI YA MFUMO WA NeST

    June 03, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.