• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

SAME WASHAURIWA KULIMA PARACHICHI

Posted on: May 5th, 2023

Wananchi Wilayani Same Mkoani Kilimanjaro wameshauriwa kuacha kilimo cha mazoea na badala yake wawe na mtazamo chanya wa kulima mazao yanayoendana na soko la sasa kama parachichi.

Kauli hiyo inakuja baada ya zao la tangawizi linalolimwa kwa wingi zaidi Wilayani Same kuonekana kushuka bei na kusababisha hasara kwa wakulima wa zao hilo ambalo gharama yake ya uzalishaji ni kubwa ukilinganisha na mazao mengine.

Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Same Mhe.Yusto Mapande wakati akizungumza katika Kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika Mei 5,2023.

Mwenyekiti alishauri wananchi hao kulima zao la parachichi kwani maeneo ambayo tangawizi ilikuwa ikilimwa ni maeneo yanayoweza kurutubisha pia zao la parachichi ambalo kwa sasa linafanya vizuri sokoni.

“Same tunataka tuwe na mazao mawili ya kimkakakti ambayo ni parachichi za muda mfupi kwa maeneo ya milimani na zao la mkonge kwa wananchi wa ukanda wa tambarare” amesema Mhe.Mapande.

Akichangia hoja hiyo Diwani wa Kata ya Ruvu Yaigongo Mrutu  amesema parachichi ni zao lenye soko kubwa ndani na nje ya nchi hivyo wamelibeba kama zao la kimkakati kwa hiyo wataendelea kuhamasisha wananchi kuwekeza kwenye kilimo cha mazao hayo.

Wamesema uwepo wa zao hilo utatatua changamoto kubwa ya anguko la bei kwenye zao la tangawizi ambalo kwasasa halina soko na bei yake kuwa chini na wakulima kutumia muda mrefu kulihudumia lakini hawapati faida kwani awali tangawizi ilikuwa inauzwa Tsh.3,000/- kwa kilo lakini kwasaa imeshuka hadi Tsh.400 kwa kilo.

Kwa Upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Same,Anastazia Tutuba amesema tayari Kata ya Chome Wilayani humo imeshaanzisha vitalu vya parachichi zinazokomaa muda mfupi na kushauri wananchi wengine kupata miche kutoka Chome wakati Halmashauri ikihamasisha Kata nyingine kuanzisha vitalu vya miche.

“Kwa upande wa uhamasishaji wa kilimo cha katani tayari tumetenga ekari 3,000 katika Kata ya Makanya na wawekezaji wameshapatikana hivyo tunatarajia eneo lile ndio liwe la mfano kwa kilimo cha Mkonge”Amesema Tutuba.

 


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.