• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

RAS KILIMANJARO AZINDUA ZOEZI LA UPANDAJI MITI

Posted on: April 18th, 2023

Katibu Tawala Mkoa wa Kilimanjaro Bw.Tixon Nzunda amezindua zoezi la upandaji miti kimkoa kwa kupanda mti katika eneo inapojengwa Hospitali mpya ya Wilaya ya Same.

Baada ya kupanda mti huo Katibu Tawala aliagiza Halmashauri zote kwa kushirikiana na Taasisi binafsi na Taasisi za dini kuhakikisha kuwa wanapanda miti kwa wingi ili kukabiliana na changamoto ya mabadiliko ya tabia nchi.

"Tunataka kuwa na Kilimanjaro ya Kijani hivyo kila Taasisi na kila mtu mmojammoja lazima tuhakikishe tunapanda miti ili kulinda Mazingira yetu,leo nimezindua rasmi zoezi  hili kwa mwaka huu"amesema Bw.Tixon

Amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Same,Bi.Anastazia Tutuba kuhakikisha kuwa eneo hilo la Hospitali mpya ya Wilaya linakuwa mfano kiwilaya kwa upandaji miti.

Bw.Tixon alisema lengo la Serikali ya Mkoa wa Kilimanjaro ni kuhakikisha kuwa mabadiliko ya tabia nchi yasiathiri tena Mkoa wa Kilimanjaro na maeneo ya jirani.

Kwa Upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Same Bi. Anastazia aliahidi kutekeleza maelekezo hayo ya Katibu Tawala.

"Kwa upande wa Halmashauri yetu tunapokea maelekezo yako na tunaendelea kuyafanyia kazi kuhakikisha kuwa Wilaya yetu inakuwa ya Kijani"amesema Anastazia

Hata hivyo Mkurugenzi huyo amesema kwa mwaka huu Halmashauri hiyo imeshapanda miti zaidi ya 500 na ipo katika hali nzuri,pia amewashukuru wakala wa Misitu (TFS) Kanda ya Kaskazini kwa kuwapatia Miche ya miti kila wanapohitaji.



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.