• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

MWENGE WA UHURU 2024 WAMALIZA ZIARA KILIMANJARO NA KUKABIDHIWA TANGA

Posted on: April 9th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mheshimiwa Nurdin Babu  amekabidhi Mwenge wa Uhuru 2024 kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Batilda Buriani.

Mwenge wa Uhuru 2024 uliwashwa Kitaifa Mkoani Kilimanjaro April 2,2024 na kukimbizwa katika Halmashauri Saba za Mkoa wa Kilimanjaro.

Mwenge wa Uhuru ulianzia Mbio zake kwenye Manispaa ya Moshi April 2 na kumalizia Mbio zake kwenye Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro.

Ukiwa Mkoani Kilimanjaro Mwenge wa Uhuru ulitembelea,kuzindua na kuweka mawe ya Msingi kwenye Miradi 47 yenye thamani ya Shilingi Bil.29.3.

Akitoa ujumbe wa Mwenge katika maeneo mbalimbali mkoani Kilimanjaro Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndg.Godfrey Mnzava alihimiza wananchi kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao anatarajiwa kufanyika baadae mwaka huu.

"Wananchi tujitokeze kugombea na kupiga kura lakini pia tuhakikishe tunachagua viongozi bora kwa Maendeleo ya Taifa letu" alisema Ndg Mnzava.

Ndg. Mnzava ambaye aliotesha miti katika Miradi yote aliyotembelea mkoani hapa pia alihimiza utunzaji wa Mazingira pamoja na utunzaji wa vyanzo vya maji ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.

Akizindua klabu ya wapinga  rushwa kwenye Shule ya Sekondari Makanya Wilayani Same Ndg. Mnzava alikemea vikali tabia ya kuomba na kutoa rushwa.

"Sote tunatambua kuwa rushwa ni adui wa haki hivyo kila mtu ahakikishe anapiga vita vitendo vya rushwa ili tuwe na Taifa la watu wenye uadilifu"alisema.

Aidha katika ujumbe wa Mwenge wa Uhuru mwaka huu wananchi wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari juu ya Ugonjwa hatari WA UKIMWI.

"Ndugu zangu UKIMWI upo na unaendelea kuua hivyo tuchukue tahadhari na kwa wale wanaotumia dawa za kufubaza makali ya UKIMWI wazingatie maelekezo"alisema Ndg Mnzava.

Mwenge wa Uhuru unaendelea na Mbio zake mkoani Tanga na unatarajiwa kukimbizwa kwa siku 195 Tanzania Bara na Visiwani chini ya Kaulimbiu isemayo "Tunza Mazingira na Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Ujenzi wa Taifa Endelevu"

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • WACHIMBA MADINI SAME WATAKIWA KUTUNZA MAZINGIRA

    May 19, 2025
  • SAME YAPANIA KUONGEZA UZALISHAJI WA MKONGE

    May 05, 2025
  • SAME YAPANIA KUONGEZA UZALISHAJI WA MKONGE

    May 05, 2025
  • SAME YAOMBA WIZARA YA KILIMO KUIPATAIA MICHE YA PARACHICHI

    May 01, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.