• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

MSILETE MFARAKANO,TANGAZENI SERA:TUTUBA AVIONYA VYAMA VYA SIASA

Posted on: July 4th, 2023

Vyama vya  siasa ambavyo vimesimamisha wagombea katika uchaguzi mdogo wa marudio Wilayani Same vimetakiwa kutangaza Sera na sio kujenga mfarakano miongoni mwa wananchi.

Akizungumza na viongozi wa vyama vinavyoshiriki uchaguzi huo,Msimamizi wa Uchaguzi Wilayani humo ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Same,Bi.Anastazia Tutuba amewataka Viongozi hao kuzingatia maadili ya Uchaguzi katika kipindi chote Cha Kampeni.

"Kampeni zote zinazofanyika zilenge kutangaza sera za vyama husika yaani tujikite zaidi katika kuwaeleza wananchi kwamba watanuafaika vipi kwa kuchagua chama chako na sio kufanya siasa za chuki,kumbukeni kuna maisha baada ya uchaguzi"alisema Bi.Tutuba.

Msimamizi huyo pia alionya vyama vya siasa kutofanya kampeni katika majengo ya Ibada wala kutumia viongozi wa dini katika kutangaza sera zao.

Wilaya ya Same inatarajia kufanya Uchaguzi wa marudio katika Kata za Njoro (Same Magharibi) na Kalemawe (Same Mashariki) Julai 13 mwaka huu kutokana na vifo vya waliokuwa Madiwani wa Kata hizo

Kampeni za Uchaguzi zimeanza Julai 1 na zitamalizika Julai 12  mwaka huu ambapo jumla ya wagombea nane wanatarajia kuchuana.

Afisa Uchaguzi Wilaya ya Same Bw.Yohana Peter aliwataja waliopitishwa kugombea Udiwani katika Kata ya Njoro kuwa ni Omar Abeid Abdalah (CCM),Raphael Mbonea Mrutu (NCCR-Mageuzi),Kasimu Rashid Msuya (ADC) na Paulo Juma Mshana (TLP) ambapo mgombea wa CHADEMA Dainel Onesmo Mziray alijiondoa baada ya kukosa wadhamini.

Katika Kata ya Kalemawe wapo wagombea watatu ambao ni Musa Hendrish Filipo (CUF),Jofrey Mtwa Jofrey (CCM) na Helena Juma (TLP) na mgombea wa CHADEMA Rajabu Kilango Bushiri alijiondoa kwa kukosa wadhamini.

Kata hizo zinarudia uchaguzi kutokana na kufariki kwa Diwani Athumani Mbelwa aliyekiwa Diwani wa Kata ya  Kalemawe na Diwani Clement Mchomvu aliyekuwa Diwani wa Kata ya Njoro.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.