• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

MBUNGE KILANGO AIOMBA SERIKALI KUWAONGEZEA FEDHA TARURA SAME

Posted on: October 10th, 2023

Mbunge wa Same Mashariki Mhe.Anne Kilango Malecela ameiomba Serikali kuwaongezea fedha wakala wa barabara Mjini na Vijijini (TARURA) Wilaya ya Same ili waweze kujenga daraja la kuunganisha Kata ya Kirangare na Mpinji.

Akizungumza na wananchi wa  Kata Kirangare wakati akitambulisha Mradi wa Ujenzi wa Barabara  ya Idaruu-Narema yenye urefu wa kilomita 7 Mheshimiwa Kilango alisema Ujenzi wa Barabara hiyo ni muhimu sana kwani utasaidia kuunganisha wananchi wa Kata ya Kirangare na masoko.

Amesema bado wananchi wa Kirangare ambao wanategemea soko la Myamba hawataweza kuvuka upande wa pili hadi daraja hilo litakapokuwa limejengwa.

Akizungumza katika hadhara hiyo,Mkuu wa Wilaya ya Same Mheshimiwa Kasilda Mgeni ameahidi kuwasilisha maombi hayo ya kujengewa daraja kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ili aweze kuwasaidia wananchi hao.

"Kwakweli nimejionea uhitaji mkubwa wa wananchi hawa wa kujengewa daraja na nitalifikisha hili kwa Mheshimiwa Rais na Nina imani kubwa kwamba atatuletea fedha za Ujenzi wa daraja hili"amesema Mkuu wa Wilaya.

Kwa Upande wake Meneja wa TARURA Wilaya ya Same Mhandisi James Mnene amesema barabara hiyo ya km 7 inayojengwa kwa kiwango cha changarawe inagharimu jumla ya shilingi milioni 395 ambazo no fedha za tozo.

Kuhusu Ujenzi wa daraja la kuunganisha Kata hizo mbili Mhandisi Mnene amesema TARURA itakokotoa gharama za Ujenzi na kuwasilisha TARURA Mkoa kwaajili ya kuomba fedha za Ujenzi maana lina umuhimu mkubwa.

Diwani wa Kata ya Kirangare Mheshimiwa Charles Chaivawa amemshukuru Mheshimiwa Rais kwa kuwakumbuka wananchi wa Kirangare na amewataka wananchi hao kulinda sana miundombinu ya Barabara.

Nae Mwenyekiti wa Kitongoji cha Narema Bw.Anderson Yusuph amesema Ujenzi wa Barabara hiyo utapunguza vifo vya wanawake wajawazito ambao walikuwa wakishindwa kupelekwa hospitali kutokana na miundombinu duni ya Barabara.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • WACHIMBA MADINI SAME WATAKIWA KUTUNZA MAZINGIRA

    May 19, 2025
  • SAME YAPANIA KUONGEZA UZALISHAJI WA MKONGE

    May 05, 2025
  • SAME YAPANIA KUONGEZA UZALISHAJI WA MKONGE

    May 05, 2025
  • SAME YAOMBA WIZARA YA KILIMO KUIPATAIA MICHE YA PARACHICHI

    May 01, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.