• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

MADIWANI SAME WAOMBA KUIDHINISHIWA BAJETI YA TSH.BIL.63.42

Posted on: February 1st, 2025

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Same, limeomba kuidhinishiwa kiasi cha shilingi bilioni 63.42 kwa mwaka wa fedha 2025/26 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Maendeleo ndani ya wilaya hiyo.B

Bajeti hiyo, ilijadiliwa katika Kikao Maalum cha Bajeti cha Baraza la Madiwani kilichofanyika Januari 31 kwa ajili ya kujadili na kupitisha mpango wa matumizi ya fedha kwa mwaka ujao wa fedha.


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Same Mheshimiwa Yusto Mpande amesema bajeti hiyo imelenga kuboresha na kuimarisha sekta mbalimbali za Maendeleo ndani ya wilaya ya Same ili kuimarisha ustawi wa wananchi wa Same.


Aliwataka madiwani, watendaji pamoja na viongozi wengine Wilayani Same kuhakikisha kuwa mapato yanapatikana ili Halmashauri iweze kutekeleza miradi iliyopitishwa  katika bajeti hiyo.


Alisema kipaumbele kwenye Bajeti hiyo ni umaliziaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo iliyoishia kwenye maboma ikiwemo ya majengo ya shule, majengo ya miradi ya afya pamoja na mengineyo ili walengwa waweze kunufaika nayo.


Katibu Tawala wa Wilaya ya Same Bi. Upendo Wella amepongeza namna bajeti hiyo ilivyowasilishwa na kuwaomba madiwani pamoja na watendaji kuongeza nguvu katika ukusanyaji wa mapato na kubuni vyanzo vipya vya mapato kutokana na uwepo wa mahitaji mengi zaidi katika kuwaletea wananchi maendeleo.


Diwani wa Kata ya Makanya, Damari Kingalu amesema kuwa bajeti hiyo imelenga zaidi kwenye miradi inayoigusa jamii moja kwa moja ikiwemo elimu, afya na usafirishaji huku akiwasisitiza wananchi kushiriki katika shughuli za utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

@ortamisemi

@maelezonews

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.