• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

LINDENI MIRADI INAYOTEKELEZWA NA SERIKALI-KATIBU CCM MKOA

Posted on: June 14th, 2023

Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro Jonathan Mabihya amewataka wananchi Wilayani Same kuhakikisha wanalinda miradi mbalimbali inayotekelezwa na Serikali Wilayani humo.

Mabihya alitoa wito huo wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Kalemawe alipotembelea kukagua ujenzi wa daraja la mawe Kalemawe lililojengwa kwa gharama ya Shilingi milioni 376.

Katibu huyo ambaye alikiwa ameongozana na Kamati ya Siasa ya Mkoa na wamefanya ziara ya siku moja ya kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM (2020-2025).

"Serikali inatumia fedha nyingi Sana kutekeleza Miradi ya Maendeleo na lengo ni kuondoa kero kwa wananchi hivyo hakikisheni mnatunza Miradi hii"alisema Mabihya.

Akitoa taarifa ya Ujenzi wa daraja la mawe Meneja wa TARURA Wilaya ya Same Mhandisi James Mnene alisema daraja hilo limejengwa kwa Tsh.mil 376 na limekamilika kwa asilimia 98.

"Daraja hilo lina urefu wa mita 36 na upana wa mita tisa na lina uwezo wa kubeba tani 37 bila wasiwasi pia umri wake wa kutumika ni miaka 100"alisema Mnene.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Same Anastazia Tutuba amesema Ujenzi huo unachangia ongezeko la mapato ya Halmashauri ambapo wafanyabiashara hupata urahisi wa kusafirisha mazao na hivyo kuchangia mapato ya Halmashauri.


Kwa upande wake Mwananchi wa eneo hilo Amina Gadi aliishukuru Serikali kwa kuwajengea daraja hilo kwani limekua msaada mkubwa kwao.

"Tunaishukuru Sana Serikali kwa kutujengea hili daraja ambalo limekuwa msaada mkubwa kwetu,wanafunzi wanavuka kirahisi kwenda shule na wakulima tunasafirisha mazao kirahisi"alisema Amina.

Katika Ziara hiyo Kamati ya siasa ilitembelea Miradi ujenzi wa daraja la mawe,ujenzi wa eneo korofi barabara ya Hedaru-Vunta-Myamba,ujenzi wa Barabara ya Maore-Mpirani-Ndungu.

Miradi mingine iliyotembelewa ni Mradi wa maji Mabilioni -Hedaru,ujenzi wa Hospitali ya Wilaya na Ukarabati wa mabweni mawili shule ya Sekondari Same. 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.