• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

KIONGOZI WA MWENGE WA UHURU APONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI SAME

Posted on: July 1st, 2025

Kiongozi wa Mbio za Mwenge Ndg.Ismail Ali Ussi ameelezwa kuridhishwa na utekelezaji wa Miradi nane ya ya Halmashauri ya Wilaya ya Same iliyofikiwa na Mwenge wa Uhuru iliyokuwa na thamani ya shilingi bilioni 2.7.

Akizungumza alipokuwa kwenye uzinduzi wa Mradi wa maji Mroyo-Kizangaze, Maore Wilayani hapa Kiongozi huyo alisema utekelezaji wa Miradi yote iliyofikiwa na Mwenge imefanywa kwa kuzingatia taratibu zote muhimu za Serikali.

“Niwapongeze sana viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Same kwa usimamizi mzuri wa Miradi kwani tumekagua Miradi pamoja na nyaraka zake zote na hakuna mashaka yoyote tuliyokutana nayo,hongereni sana” alipongeza Ndg. Ussi.

Akizungumzia mbio za mwenge wa Uhuru Wilayani Same Mkuu wa Wilaya ya Same Mheshimiwa Kasilda Mgeni alisema ukiwa Wilayani Same Mwenge wa Uhuru ulizindua Kituo cha Mafuta cha Mayai (Tsh.mil.431) uliweka jiwe la Msingi Zahanati ya Masandare (Tsh.Mil 50.5) ambapo pia ulizindua barabara ya lami Same Mjini yenye urefu wa km 1.43(Tsh.mil.980.9)

Alisema Kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa Bw. Ismail Ali Ussi alipata nafasi ya kugawa majiko ya gesi 40 kwa wajasiriamali ili kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania za matumizi ya nishati Safi ya kupikia,majiko hayo yalinunuliwa kwa shilingi milioni 1.9 ambazo zilitokana na mapato ya ndani ya Halmashauri.

Mwenge wa Uhuru pia uliweka jiwe la Msingi kwenye Miradi wa Maji Mroyo-Kizangaze (Tsh.bil 1.1) na kuzindua Nyumba ya Mwalimu Shule ya Sekondari Misufini Goma (Tsh.mil 98.1)

Miradi mingine iliyofikiwa na Mwenge wa Uhuru Kikundi cha Wajasiriamali cha Vijana Welding chenye mtaji wa shilingi milioni 13.

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru pia alipata fursa ya kugawa viti na meza 200 vyenye thamani ya shilingi  milioni 22 kwaajili ya shule za Sekondari.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MAMLAKA YA MJI MDOGO SAME WAIANGUKIA TARURA

    August 15, 2025
  • SAME YAKOMBA VIKOMBE UMITASHUMTA

    July 25, 2025
  • WANANCHI WENYE CHANGAMOTO ZA KISHERIA WATAKIWA KUITUMIA SAMIA LEGA CAMPAIGN

    August 11, 2025
  • WAKULIMA WATAKIWA KUFUATA KANUNI BORA ZA KILIMO

    August 08, 2025
  • Tazama Vyote

Video

Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.