• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

HELKOPTA YATUMIKA KUONDOA TEMBO WALIOVAMIA MASHAMBA SAME.

Posted on: July 8th, 2023

Serikali imelazimika kutumia Helkopta kutafuta makundi ya Tembo na wanyama wengine waharibufu waliozagaa katika vijiji 25 vya Wilaya ya Same na kuwarejesha katika Hifadhi ya Taifa Mkomazi.

Zoezi hilo ni utekelezaji wa agizo la Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Mohamed Mchengerwa alilotoa hivi karibuni alipofanya ziara ya kikazi ya siku moja katika wilaya hiyo ya Same ambapo aliagiza mamlaka ya hifadhi za Taifa TANAPA kupeleka Helkopta katika Wilaya hiyo kusaidia zoezi la kuondoa makundi ya Tembo yaliyozagaa katika maeneo mbalimbali na kuwarejesha katika hifadhi ya Mkomazi.

Oparesheni hiyo inatekelezwa kwa ushirikiano baina ya taasisi nne zilizo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii,Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Same na wananchi wenyeji ambao wanasaidia kuainisha maeneo walipo Tembo.

Akizungumzia utekelezaji wa Oparesheni hiyo, Mkuu wa hifadhi ya Taifa Mkomazi, amishna Msaidizi wa uhifadhi Emmanuel Moirana amesema kwa siku ya kwanza jumla ya makundi matano ya Tembo yamerejeshwa hifadhini.

"Mkakati uliopo ni kuendelea na zoezi ili kuondoa changamoto ya mara kwa mara kuripotiwa makundi ya Tembo kuonekana maeneo ya nje ya hifadhi ambao wanaathiri shughuli za kibinadam"alisema.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe.Kasilda Mgeni amepongeza jitihada hizo za Wizara ya Maliasili na Utalii kwa uharaka wa kutekeleza ahadi ya kuondoa Tembo hao hivyo kuwezesha wananchi kuendelea na shughuli za uzalishaji.

Baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Same walioshiriki katika Oparesheni hiyo wamesema kuna idadi kubwa ya Tembo ambao wametoka kabisa kwenye maeneo ya hifadhi na kufanya makazi ya kudumu kwenye maeneo ya vijiji, hali ambayo imesababisha baadhi yao hasa wakulima mwaka huu kukosa kabisa mazao kwani yameliwa na Tembo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.