• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

DC SAME ATAKA WANANCHI WAPEWE AJIRA MRADI WA MAJI MSINDO

Posted on: May 31st, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Same Mheshimiwa Kasilda Mgeni ameitaka Kampuni ya BuildTech Engineering Co.Ltd iliyoshinda zabuni ya Mradi wa Tsh.Bil.1.05 wa kusambaza Maji kwenye vijiji vya mbakweni na Msindo kuhakikisha kuwa wanawapa ajira za muda vijana na wanawake wa eneo hilo.

Ameyasema hayo wakati wa kusaini mkataba wa Mradi huo na kutambulisha Mradi huo kwa wananchi wa Kata ya Msindo.

"Leo hapa tumeshuhudia utiaji saini wa Mkataba huu wenye thamani ya shilingi bilioni moja,tunategemea hii fedha aliyoileta Rais wetu Samia Suluhu Hassan anatarajia iwanufaishe pia wananchi wa hapa kwa kupewa kazi wanazoweza kufanya"alisema Mkuu huyo.

Amesema pamoja na Mradi huo kutarajiwa kuondoa shida ya Maji kwa wananchi zaidi ya elfu nne lakini pia fedha hizo tunatarajia zinufaishe pia vijana kwa kupata ajira ndogondogo.

Akitoa taarifa ya Mradi huo Meneja wa RUWASA Wilaya ya Same Bw.Abdallah Gendaheka alisema Mradi huo unatekelezwa kwa kipindi cha mwaka mmoja kuanzia Mei 31,2024.

"Niwaombe wananchi wa Kata ya Msindo mhakikishe kwamba mnakuwa walinzi wa vifaa vya Mradi huu,msiruhusu vifaa kuibiwa au kuharibiwa kwa njia yoyote"alisema Meneja huyo.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Msindo Mheshimiwa Yusto Mapande aliishukuru Serikali kwa kuwapatia Mradi huo na kuahidi kuusimamia na kuutunza.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • WACHIMBA MADINI SAME WATAKIWA KUTUNZA MAZINGIRA

    May 19, 2025
  • SAME YAPANIA KUONGEZA UZALISHAJI WA MKONGE

    May 05, 2025
  • SAME YAPANIA KUONGEZA UZALISHAJI WA MKONGE

    May 05, 2025
  • SAME YAOMBA WIZARA YA KILIMO KUIPATAIA MICHE YA PARACHICHI

    May 01, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.