• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

DC SAME ASISITIZA WANANCHI KUULINDA MUUNGANO

Posted on: April 26th, 2024

Wananchi wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro wameungana na watanzania wengine katika kusherehekea Maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Zanzibar na Tanganyika ambao ulisababisha kuzaliwa kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliasisiswa April 26 mwaka 1964 na waliokuwa marais wa nchi hizi mbili ambao ni Hayati Julius Kambarage Nyerere wa Tanganyika na Hayati Abeid Aman Karume wa Zanzibar.

Mkuu wa Wilaya ya Same Mheshimiwa Kasilda Mgeni aliongoza Maadhimisho haya WIlayani Same ambapo aliwapongeza viongozi wa Tanzania kutokana na busara na hekima zao zilizosababisha Muungano huu uendelee kudumu na wananchi hatuna budi kuendelea kuulinda Muungano.

Alisema miaka 60 ni mingi sana na watanzania tunapaswa kujipongeza na kuwapongeza viongozi wote walioliongoza Taifa hili tangu nchi hizi mbili zilipoungana. 

Wilayani Same kilele cha sherehe hizo kimefanyika kwenye viwanja vya stendi ya mabasi ambapo Mkuu wa Wilaya alisema viongozi wote waliopita wameitendea mema nchi hii ambapo kwasasa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan anaendeleza vema gurudumu hilo.

Mheshimiwa Kasilda alitumia nafasi hiyo kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuipatia Wilaya ya Same Miradi mbalimbali ambayo imewezesha uboreshaji mkubwa katika sekta za Afya, Elimu na Kilimo.

Alisema kuwa kabla ya Muungano Same kulikuwa na shule moja tu ya Sekondari lakini ndani ya  miaka 60 kuna jumla ya Shule 66 sawa na ongezeko la shule 65 ambapo za Serikali ni 45 na binafsi 20, vile vile Shule za Msingi zilikuwa 14 lakini kufikia 2024 kumekuwa na ongezeko la Shule 192 miongoni mwao za Serikali ni 174 na binafsi ni 18 na kufanya kuwa na jumla ya Shule 206 zilizosajiliwa.

Kaulimbiu ya Muungano mwaka huu inasema “Miaka 60 ya Muungano Tumeshikamana na tumeimarika kwa maendeleo ya Taifa letu

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • WACHIMBA MADINI SAME WATAKIWA KUTUNZA MAZINGIRA

    May 19, 2025
  • SAME YAPANIA KUONGEZA UZALISHAJI WA MKONGE

    May 05, 2025
  • SAME YAPANIA KUONGEZA UZALISHAJI WA MKONGE

    May 05, 2025
  • SAME YAOMBA WIZARA YA KILIMO KUIPATAIA MICHE YA PARACHICHI

    May 01, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.