• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

DC KASILDA AISHUKURU SERIKALI KWA SAME KUPATIWA GARI LA ZIMAMOTO

Posted on: December 17th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Same Mheshimiwa Kasilda Mgeni amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuipatia Wilaya hiyo gari la zimamoto.

Mheshimiwa Kasilda ametoa shukrani hizo wakati akikabidhiwa gari hilo na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mheshimiwa Nurdin Babu ambapo alisema Serikali ya Awamu ya Sita inaendelea kuimarisha usalama wa wananchi.

Akikabidhi gari hilo Mkuu wa amkoa wa Kilimanjaro Mheshimiwa Babu amewataka Viongozi wa Wilaya ya Same kuhakikisha kuwa gari hilo linatunzwa ili liweze kukabiliana na majanga ya moto kwa muda mrefu.

Kwa mwaka huu pekee Wilaya ya Same ilishuhudia ajali mbaya kabisa ya Moto baada ya magari mawili ya abiria kugongana na kuweka Moto ajali ambayo ilipoteza maisha ya watu zaidi ya 40 na ajali nyingine za Moto zilizotokea ni kuungua kwa mabweni ya Wanafunzi kwenye Shule za Sekondari Bemko na Makanya.

Matangazo

  • TANGAZO LA USAJILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI WILAYA YA SAME February 03, 2026
  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA October 28, 2024
  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA October 28, 2024
  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA October 28, 2024
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • VIJANA KATA YA MAORE WAPATIWA ELIMU YA MIKOPO.

    January 31, 2026
  • WENYEVITI WAKUMBUSHWA KUFANYA MIKUTANO

    January 28, 2026
  • WANANCHI HEDARU WAFURAHIA KUKAMILIKA KWA DARAJA LA MTO WASHI

    January 30, 2026
  • DC KASILDA AISHUKURU SERIKALI KWA SAME KUPATIWA GARI LA ZIMAMOTO

    December 17, 2025
  • Tazama Vyote

Video

Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.