• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

CCM WAOMBA WILAYA YA SAME KUONGEZEWA FEDHA ZINAZOKADIRIWA KWAAJILI YA MIIRADI

Posted on: September 15th, 2023

Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Same Bi.Hamisa Chacha ameiomba Serikali kuiongezea Wilaya ya Same kiasi cha fedha zinazokadiriwa kwaajili ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo kutokana na jiongrafia ya milima na miamba katika Wilaya hiyo ambayo inaongeza gharama ya ujenzi.

Akizungumza katika kikao  cha Baraza la Madiwani katibu huyo amesema makadirio ya ujenzi yanayofanywa na Wizara wakati mwingine lyanaleta changamoto katika utekelezaji wa Miradi kwani fedha zinakuwa hazitoshi.

“Serikali inaleta fedha za kujenga darasa moja  kwa shilingi milioni ishirini hadi ishirini na tano pamoja na kuweka madawati,fedha hii katika maeneo yetu ni ngumu sana kukamilisha darasa kutokana na jiografia ya huku” amesema Bi.Hamisa

Amesema katika sehemu nyingi ambazo Miradi inatekelezwa katika Wilaya ya Same wahusika wanalazimika kusafiri umbali usiopungua kilomita 70 kufuata vifaa vya ujenzi ambapo wakati mwingine hata gari haiwezi kufika katika eneo la ujenzi hivyo kulazimika kutumia vibarua kubeba na kuvifikisha site.

Bi.Hamisa amesema katika kusafirisha vifaa tuu tayari makisio ya bajeti yanaanza kuleta shida maana bajeti ilivyotengenezwa haikukadiria umbali wa kusafirisha vifaa wala haijakadiria gharama za kukata mlima na kusawazisha ili kupata eneo la ujenzi.

“Niiombe Serikali isitukadirie bajeti ya ujenzi wa darasa sawa na wakazi wa Kinondoni au  maeneo mengine ya tambarare maana jiografia yetu ni ngumu na waje watembelee kujionea” amesema.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Same Bi.Anastazia Tutuba amesema gharama za ujenzi katika maeneo ya milimani ni kuwa na tayari wameshaomba Serikali kuwaongezea fedha ili Miradi iweze kukamilika.

“Tuliomba kuongezewa fedha za miradi kutokana na jiografia yetu na zimeongezwa lakini ndo tumeambiwa tulaze tofali na ukilaza tofali zinaenda nyingi hivyo kunakuwa hakuna nafuu,tunajazia fedha za mapato ya ndani ili Miradi ikamilike lakini Miradi ni mingi hatuwezi kuikamilisha yote kwa mapato ya ndani” amesema Anastazia

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.