• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

BARABARA ZOTE ZILIZO CHINI YA TANROADS KUWEKWA LAMI-RC

Posted on: December 21st, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mheshimiwa Nurdin Babu amesema Serikali ina mpango wa kujenga kwa lami Barabara zote zinazosimamiwa na Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoani humo ili kupunguza adha ya ukarabati wa mara kwa mara kila mvua inaponyesha.


Mheshimiwa Babu ameyasema hayo wakati alipotembelea Barabara ya Mwembe -Mbaga-Myamba (Km 91) kukagua ukarabati wake baada ya Barabara hiyo kuharibiwa na Mvua za Elnino na kushindwa kutumika kwa zaidi ya wiki moja.


"Mpango wa Serikali ni kuhakikisha kuwa Barabara hizi zinajengwa kwa lami ili kuziimarisha zisiharibiwe na mvua mara kwa mara maana ukarabati wa mara kwa mara unaigharimu sana Serikali "alisema Mkuu huyo.


Mkuu huyo wa Mkoa aliwaonya wananchi wanaotumia vyombo vya moto kutovuka madaraja pale wanapoona maji yamefunika daraja maana mvua za Elnino zimesababisha vifo vya watu watatu.


Akizungumza katika ziara hiyo Meneja wa TANROAD mkoani Kilimanjaro, Mhandisi Motta Kyando alisema zoezi la ukarabati wa madaraja na Barabara zilizoharibiwa na mvua unaendelea.


Meneja huyo alisema kwa upande wa Daraja la Hedaru linatarajiwa kujengwa upya maana lililopo ni dogo na Halima uwezo wa kupitisha maji na magogo yanayotoka milimani.


"Hili darajani dogo na ndio maana lilizibwa na magogo na  kusababisha maji kusambaa kwenye makazi ya watu na kusababisha mafuriko,hivyo tunasubiri Elnino iishe ili tuijenge Daraja kubwa"alisema Mhandisi Motta.


Katika ziara hiyo Mkuu wa Mkoa alitembelea madaraja ya Hedaru,Makanya na Bangalala ambayo kingo zake ziliharibiwa na Mvua,pia alitembelea Barabara ya Mwembe -Mbaga-Myamba ambayo inakarabatiwa.







Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • WACHIMBA MADINI SAME WATAKIWA KUTUNZA MAZINGIRA

    May 19, 2025
  • SAME YAPANIA KUONGEZA UZALISHAJI WA MKONGE

    May 05, 2025
  • SAME YAPANIA KUONGEZA UZALISHAJI WA MKONGE

    May 05, 2025
  • SAME YAOMBA WIZARA YA KILIMO KUIPATAIA MICHE YA PARACHICHI

    May 01, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.