Tuesday 3rd, June 2025
@Same
Wilaya ya Same inatarajia kupokea Mwenge wa Uhuru tarehe 20 Juni 2023.Mwenge huo utapokelewa kutoka Mkoa wa Tanga.
Wananchi wote mnakaribishwa katika mapokezi ya Mwenge wa Uhuru pamoja na kushiriki kukimbiza Mwenge katika Wilaya ya Same.
Kauli mbiu ya mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2023 inasema “Tunza Mazingira, Okoa vyanzo vya Maji kwa Ustawi wa Viumbe hai na Uchumi wa Taifa”,
Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.