• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

KILA MTOTO WA HALMASHAURI YA SAME ANASTAHILI CHETI CHA KUZALIWA,TUMPE HAKI YAKE.

Posted on: August 6th, 2020

Ni uzinduzi wa mpango wa kusajili na kutoa  vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wa umri chini ya miaka mitano ambapo mpango huo ulizinduliwa na Ndg Sospeter Magonera ambaye ni Katibu Tawala wa Wilaya akiwa amemwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Same.Ndg Sospeter Magonera alisema uzinduzi wa mpango huo unaenda kuleta mabadiliko makubwa katika usajili na utambuzi wa watoto wa Halmashauri yetu.

Ndg Magonera alisema ni haki ya mtoto kutambuliwa na kupewa uthibitisho na kwamba cheti cha kuzaliwa kina matumizi mengi ambapo hutumika katika kuandikisha watoto wanaoanza elimu ya sekondari,kupata nafasi za elimu ya juu na kupata mikopo,kupata kadi ya kura,kitambulisho cha taifa na hutumika kubainisha mahusiano kati ya wanafamilia.

Vilevile Ndg Magonera alisisitiza kuwa usajili wa vizazi ni huduma muhimu sana kwa wananchi na Serikali ambayo  hupata takwimu sahihi za idadi ya watu kwa ajili ya mipango ya maendeleo na kuepuka matumizi  ya takwimu za makisio.

Hapo chini ni baadhi ya wazazi wababa na wamama waliotunukiwa vyeti vya kuzaliwa vya watoto na mgeni rasmi



Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Same Bi.Anastazia Tutuba amemshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kukubali mwaliko na kushiriki katika uzinduzi huo ambapo anasema mpango huo umebuniwa na Serikali kupitia Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini(RITA),ambapo mpango wa usajili wa watoto wa umri chini ya miaka mitano utaleta maboresho ya watoto wote wa umri chini ya miaka mitano watapata vyeti bure vilevile huduma zinasogezwa na kupatikana karibu na maeneo ya wananchi.

"Kila mtoto wa Halmashauri ya Same anastahili cheti cha kuzaliwa,tumpe haki yake"

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2020 November 23, 2020
  • Siku ya kufanya usafi kwa mwezi Januari January 12, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Matokeo ya darasa la nne 2019 January 22, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • WACHARO(DIASPORA) WAKUBALI KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUIFIKISHA SAME YA NDOTO ZAO

    January 12, 2021
  • SALAMU ZA MWAKA MPYA

    December 31, 2020
  • UTALII WA NDANI UNAANZA NA SISI

    December 20, 2020
  • SAME YA 2025

    December 14, 2020
  • Tazama Vyote

Video

DED Same Dc akusanya mapato
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Rules and Regulation
  • Videos
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

    The Way Through Mkomazi Nationa Park or District Hospital

    Sanduku La Posta: P.O.Box 138

    Simu ya mezani: +255 27 2758034

    Simu Ya Mkononi: +255 687 786576

    Email: ded@samedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.