• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

ZIARA YA MHE.MNGWIRA WILAYANI SAME

Posted on: November 15th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe.Anna Elisha Mngwira amefanya ziara Wilayani Same ambapo amezungungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Same na kutembelea katika kata ya Vudee kusikiliza kero mbalimbali za wananchi wa kata hiyo.Ziara hiyo ilikuwa ni pamoja na tukio la kumtambulisha Katibu Tawala Mkoa mpya Ndg.Kazungu ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero mbalimbali za watumishi na hoja zilizojitokeza katika kamati ya bunge.

Hoja mojawapo iliyozungumziwa ni asilimia kumi(10) ya mapato ya halmashauri inayotolewa kwa walemavu,vijana na wanawake Mhe.Mngwira alisema Halmashauri inatakiwa kuonesha kiwango ambacho imetoa kwa kila hela inayokusanywa asilimia kumi yake itoke mara moja.Vikundi vinavyoleta maombi vinatakiwa vipitishwe kwenye WDC."Alisema Mhe.Mngwira"

Halmashauri ibuni vyanzo vipya vya mapato na ufwatiliaji wa karibu wa vyanzo vilivyopo na ufwatiliaji wa madeni sugu yanayodaiwa na Halmashauri.Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi itoe asilimia ya mapato kwa Halmashauri kwa kila geti."alisema Mkuu wa Mkoa".

Kuhakikisha Halmashauri inatumia mfumo wa kielektroniki wa kukusanyia mapato na usimamizi wa vifaa vinavyotumika kukusanyia mapato ikiwa ni pamoja na ukaguzi wa mara kwa mara wa mfumo wa kukusanyia mapato.

Kuimarisha menejimenti ya Halmashauri.

Kutoa taarifa za maendeleo ya mfuko wa jimbo ambapo taarifa ya matumizi ya mfuko kwa miradi mbalimbali inayotekelezwa na Halmashauri itolewe.

Uchaguzi wa serikali za mitaa wananchi wote wahimizwe kushiriki zoezi la uchaguzi wa serikali za mitaa.

Utatuzi wa migogoro ya ardhi ambapo Halmashauri inatakiwa itenge maeneo mbalimbali kwa matumizi.

Mwisho Mhe.Anna Mngwira aliagiza maagizo yote aliyotoa kufanyiwa kazi ikiwemo Mkurugenzi Mtendaji kuhakikisha migogoro yote ya ardhi inamalizika.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.