• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

WENYE MAHITAJI MAALUM WAISHUKURU HALMASHAURI YA SAME

Posted on: April 25th, 2024

Watoto wenye mahitaji maalum wanaolelewa kwenye kituo cha kulea watoto cha Mother Kevina Hope Center na wanaosoma kitengo maalum shule ya Msingi Same wameishukuru Halmashauri ya Wilaya ya Same kwa kuwapatia vyandarua. 

Halmashauri ya wilaya ya Same imegawa vyandarua 100 kwa watoto hao ili kuwalinda na maambukizi ya malaria ili waweze kushiriki vyama masomo yao wakiwa na afya njema.

Akitoa shukrani hizo, Rachel Mbwambo anayelelewa Kituo cha Mama Kevina alisema Halmashauri imefanya jambo jema kuwakumbuka katika mapambano dhidi ya malaria.

Zoezi hilo lilifanyika April 25 siku ambayo hutumika kuadhimisha siku ya Malaria Duniani ambapo serikali imekuwa ikishiriki shughuli mbalimbali zenye lengo la kudhibiti maambukizi ya malaria.

Akizungumza katika hafla hiyo Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Same Dkt. Cainan Kiswaga aliwata watoto hao kuhakikisha kuwa wanasafisha maeneo yanayowazunguka ili kuondoa mazalia ya mbu.

“Hakikisheni kwamba nyasi zilizozunguka katika maeneo yenu zinafyekwa na msiruhusu maji kutuama kwani mazingira hayo yanaongeza mazalia ya mbu” alielekeza Dkt. Cainan

Akitoa taarifa ya hali ya maambukizi ya Malaria kwenye Wilaya ya Same, Mratibu wa udhibiti wa Malaria Wilaya ya Same Bi.Anusiata Mgumba alisema maambukizi yamepungua kutoka asilimia 1.5 mwaka 2022 hadi kufikia asilimia 0.8 mwaka 2023.

“Tunaendelea na jitihada za kupunguza maambukizi ili kufikia lengo la kitaifa la zero Malaria ifikapo 2030” alisema Anusiata.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.