• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

WATAKIWA KUREJESHA MIKOPO YA ASILIMIA 10

Posted on: August 20th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe. Kasild Mgeni, amevitaka vikundi vya wanawake,vijana na walemavu ambavyo vinadaiwa mikopo ya asilimia 10 kuhakikisha kwamba wanarejesha mikopo hiyo ili iweze kutolewa kwa wahitaji wengine.

Mhe. Kasilda ametoa wito huo wakati akizungumza na wanachama wa vikundi mbalimbali vilivyonufaika na mkopo huo ambapo alisema ucheleweshaji wa kurejesha mikopo hiyo unakwamisha maendeleo ya Wilaya kwani Halmashauri inashindwa kuendelea kukopesha.

Amesema ni muhimu kwa wajasiriamali kuhakikisha wanarudisha mikopo hiyo kwa wakati ili kuwezesha mfumo wa mikopo kuendelea kuwasaidia wengine na hata wao kukopa tena pale wanapohitaji kufanya hivyo.

“Urejeshaji wa mikopo kwa wakati ni muhimu kwa ustawi wa kiuchumi wa vikundi vya wajasiriamali na pia kuhakikisha upatikanaji wa mikopo zaidi kwa ajili ya kupanua biashara zenu na kuboresha maisha yenu” alisema.

Akizungumza kwenye kikao hicho Afisa Maendeleo wa Halmashauri ya Wilaya ya Same Bw. Charles Anatoly alisema jumla ya vikundi 344 vya wajasiriamali vinadaiwa zaidi ya shilingi milioni 300 ambapo alisema kwa mwaka huu wamefanikiwa kupokea marejesho ya shilingi milioni 37.

“Tunaendelea kufuatilia marejesho ya haya madeni na yanaendelea kulipwa japo kwa taratibu sana,tunaendelea kuvikumbusha vikundi viendelee kulipa,na ambavyo vitakiuka hatua Zaidi zitachukuliwa” alisema Bw. Anatoly.

Mkuu huyo ametoa miezi mitatu wa vikundi hivyo kuhakikisha kuwa ifikapo mwezi Desemba 2024  madeni yote yanatakiwa yawe yamesharejeshwa kikamilifu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.