• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

WANANCHI WATAKIWA KUENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI YA MAFURIKO

Posted on: November 22nd, 2023

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Same Bi. Anastazia Tutuba amesema Halmashauri inaendelea kutoa elimu ya tahadhari ya mafuriko kwa wananchi katika maeneo mbalimbali ili kuepuka madhara yanayoweza kutokana na mvua za Elnino.

Kwa mujibu wa Taarifa za Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) mvua za Elnino zinatarajia kunyesha hadi mwishoni mwa mwezi Februari 2024.

Akizungumza katika kikao cha Baraza la Madiwani Mkurugenzi huyo alisema tayari Kamati za kukabiliana na maafa zimeshaundwa kuanzia ngazi ya Vitongoji,Vijiji na Kata na tayari zimeshapewa maelekezo kuhusu hatua za kuchukua pale hali inapokua ya kuhatarisha.

"Swala la majanga ya mafuriko linadhibitiwa kuanzia ngazi ya Kitongoji, Kijiji, Kata, Wilaya, Mkoa mpaka Taifa, hivyo sisi kama Halmashauri tayari tumeunda Kamati za maafa ambazo kwa sasa zinaendelea kutoa elimu juu na namna ya kujikinga na Maafa"alisema Bi.Tutuba

Alisema katika Wilaya ya Same kuna maeneo hatarishi ambayo hata kipindi cha Mvua za kawaida za masika hukumbwa na mafuriko hivyo wananchi walishaelekezwa kuhama kwa muda katika maeneo hayo.

Aliyataka maeneo ambayo hukumbwa na adha ya ya mafuriko katika Wilaya ya Same kuwa ni Hedaru,Makanya,Kisima,Ruvu,Njoro na maeneo mengine ambayo hupata majanga ya maporomoko ya miamba ni Myamba,Msindo,Vunta na Mtii.

"Kwa kipindi hiki cha Mvua za Elnino ni vema wananchi wakaepuka kukaa chini ya miti,waepuke kupita na vyombo vya Moto maeneo yenye maji mengi,wasiguse nyaya za umeme popote wanapoziona,lakini wanatakiwa pia kuwa na namba za viongozi wao ili hata majanga yanapotokea waweze kutoa taarifa ili wapate msaada wa haraka" alisema.

Akizungumzia suala hilo Diwani wa Kata ya Ruvu Mhe.Yaigongo Mrutu alisema Kata ya Ruvu ni miongoni mwa Kata ambazo husumbuliwa na adha ya mafuriko hivyo akaiomba Serikali ya Wilaya kutoa msaada wa haraka pale utakapohitajika.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.