• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

UTALII WA ASILI WALETA MAKTABA SAME

Posted on: August 13th, 2019

Utalii wa asili waleta Maktaba kata ya Mshewa wilayani Same ambapo kukuza Utalii wa asili ni moja ya malengo yaliyopo kwenye mpango mkakati wa kukuza utalii wilayani Same.Wageni wengi wameanza kuufurahia na kutembelea vivutio vya asili,maporomoko ya maji,mapango,mashamba,mabwawa,misitu,milima na vingine.

Watalii toka Uingereza kupitia shirika la World Expedition Exchange waliotembelea kijiji cha Goma kata ya Mshewa walitoa vitabu ili kuunga mkono juhudi za Serikali juu ya elimu.Vitabu hivyo viliwezesha kuanzisha maktaba katika kijiji hicho itakayotumiwa na wanafunzi wa kata ya Mshewa na kuongeza maarifa.Idadi kubwa ya vitabu hivyo ni vya masomo ya sayansi.

Ndugu Elly Kimbwereza ambaye alikuwa mwenyeji wa wageni hao alieleza jinsi utalii wa asili unavyoweza kuunganishwa na shughuli za jamii husika na kuleta maendeleo kwa haraka kwani watalii wengine wameshashiriki kutengeneza barabara katika kijiji hicho.Alisema kwa kuwa vitabu vingi ni vya sayansi vitasaidia katika adhma ya Tanzania ya viwanda.

DC Same Mhe.Rosemary Senyamule aliyezindua Maktaba hiyo,alitoa wito kwa wananchi kujifunza na kushiriki shughuli za utalii kwani tunavyo vivutio vingi mno ambavyo vikitumika vizuri kila mtu atafaidika.Katika mpango mkakati wa Utalii,pamoja na kutaja mbuga ya wanyama Mkomazi na msitu wa Chome wenye kilele cha Shengena,wilaya imepanga kuunganisha vivutio hivyo pamoja na vivutio vya utamaduni ili Serikali na wananchi wote wafaidike na kukuza uchumi wa wilaya.

"Kuwepo kwa Maktaba hii ya kwanza kwenye kata kwa wilaya yetu kutuletea matunda mema ya kukuza elimu na ufaulu uongezeke katika kata hii"Alisema DC Same alipokuwa akiwashukuru wadau hao.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • WANANCHI WAONYWA KUTOJIUNGANISHIA MAJI KWA NJIA ZISIZO RASMI

    June 18, 2025
  • WANANCHI WAONYWA KUTOJIUNGANISHIA MAJI KWA NJIA ZISIZO RASMI

    June 18, 2025
  • DC KASILDA ATAKA WANANCHU KUTUMIA FURSA ZA KIUCHUMI WAKATI WA ZIARA YA MWENGE WA UHURU

    June 10, 2025
  • WASHIRIKI UMISSETA WATAKIWA KUWAKILISHA VEMA WILAYA YA SAME

    June 09, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.