• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

SIKU YA WANAWAKE KUFANYIKA SAME KIMKOA

Posted on: March 5th, 2023

Wilaya ya Same inatarajiwa kuwa mwenyeji  Kimkoa wa maadhimisho ya kilele cha siku ya wanawake Duniani ambayo huadhimishwa Machi 8 ya kila mwaka.

Mkuu wa Wilaya ya Same,Mhe:Kasilda Mgeni amesema maandalizi yote kwaajili ya kupokea wageni kutoka maeneo mbalimbali ya mkoa huo yapo tayari.

Alisema katika kuelekea kilele Cha siku ya wanawake Machi 8 wanawake Wilayani humo wamekuwa na shughuli mbalimbali ikiwemo kutoa elimu ya kupinga ukatili mashuleni.

"Tumekuwa na wiki nzima ya shughuli mbalimbali za kijamii katika kuadhimisha wiki ya wanawake ambayo kilele chake ni Machi 8"alisema Mgeni

Alisema Elimu ya kujilinda dhidi ya ukatili imetolewa katika Shule za msingi na Sekondari pia kumefanyika zoezi la kuotesha miti 100 katika Shule ya Sekondari Mighareni.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Same,Anastazia Tutuba amesema shughuli nyingine zilizofanyika ni pamoja na kutoa elimu ya kuzuia ukatili,Elimu ya Lishe na maelekezo ya namna ya kunufaika na mkopo wa Halmashauri kwa wafanyabiashara katika soko Kuu la Kwasakwasa.

Alisema wanawake Wilayani humo pia watatoa misaada mbalimbali ya kijamii katika vituo vya watoto yatima na jioni ya Machi 8 kutakuwa na hafla fupi ya usiku wa familia ambao utafanyika Mkomazi Stop Over.

"Tumefarijika Sana maadhimisho haya kufanyika kimkoa katika Wilaya yetu na tumejiandaa vema kuwapokea wageni"alisema Tutuba.

Maadhimisho ya Kilele Cha siku ya wanawake Mkoa wa Kilimanjaro yatafanyika katika viwanja vya Stendi kuu ya mabasi Same na yatajumuisha na maonyesho ya biashara mbalimbali za wanawake.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.